Mabibi na mabwana heshima kwenu na moja kwa moja kwenye mada.
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ilikuwa ni muhimu sana kutambua kuwa ushindi utapatikana tokea katika mavuno ya haki ya kura za wananchi.
Ilikuwa muhimu zaidi hili kufahamika kwa wagombea wenyewe, wafuasi na hata mashabiki wao.
Kura hazilamishwi wala kupatikana kwa ghiliba, matusi, nk, labda kama mgombea kajipanga vilivyo kukataa matokeo au hata kuukwiba uchaguzi tu. Kistaarabu tunasema, wa hivyo si mshindani. Kwa hakika huyo hatufai.
Kwa vile lengo kuu ni kuvuna kura halali, kila mtia nia na hatimaye kila mgombea atapata kura kutegemeana na kiwango chake cha kukubalika kwa watu.
Je, mgombea anataka kukubalika? Ni vyema kuwasaidia wagombea wetu kuyafamu bayana ili wasije kuwa wamepoteza mguso kwa jamii.
Ninaamini mgombea huyu:
Ni mpenzi wa Mungu kwani kwa hakika ametanguliza haki mbele. Haki itamfanya kukubalika vilivyo kwa watu. Nani asiyependa haki?
Kwanini sababu kama hizi zinazotuongoza kuliko haki ni msiba mkubwa kwa wagombea wengine na hali bado wanapenda kukubalika?
Tatizo la matakwa kama hayo takribani sita ya wajumbe na mahakimu wa watia nia "come Oct. 28," ni nini hasa?
Je, ni takwa lipi katika hayo ambalo mgombea awaye yote anakwazika mno nalo kiasi yu radhi kufa na tai shingoni? Je labda ni kwa nini?
Tuelimishane.
Tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu ilikuwa ni muhimu sana kutambua kuwa ushindi utapatikana tokea katika mavuno ya haki ya kura za wananchi.
Ilikuwa muhimu zaidi hili kufahamika kwa wagombea wenyewe, wafuasi na hata mashabiki wao.
Kura hazilamishwi wala kupatikana kwa ghiliba, matusi, nk, labda kama mgombea kajipanga vilivyo kukataa matokeo au hata kuukwiba uchaguzi tu. Kistaarabu tunasema, wa hivyo si mshindani. Kwa hakika huyo hatufai.
Kwa vile lengo kuu ni kuvuna kura halali, kila mtia nia na hatimaye kila mgombea atapata kura kutegemeana na kiwango chake cha kukubalika kwa watu.
Je, mgombea anataka kukubalika? Ni vyema kuwasaidia wagombea wetu kuyafamu bayana ili wasije kuwa wamepoteza mguso kwa jamii.
Ninaamini mgombea huyu:
Ni mpenzi wa Mungu kwani kwa hakika ametanguliza haki mbele. Haki itamfanya kukubalika vilivyo kwa watu. Nani asiyependa haki?
Kwanini sababu kama hizi zinazotuongoza kuliko haki ni msiba mkubwa kwa wagombea wengine na hali bado wanapenda kukubalika?
Tatizo la matakwa kama hayo takribani sita ya wajumbe na mahakimu wa watia nia "come Oct. 28," ni nini hasa?
Je, ni takwa lipi katika hayo ambalo mgombea awaye yote anakwazika mno nalo kiasi yu radhi kufa na tai shingoni? Je labda ni kwa nini?
Tuelimishane.