nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
mwingine anaweza kusema labda kwa kinshasa as vita vs dc motema pembe ndiyo mechi kubwa lakini hapana asiee sisi tunajua as vita na mazembe ndizo teams kubwa congo..sasa angalia attendance ya hii mechi yao ya jana ila ukimsikia papaa zahera anavyokandia ligi ya bongo na kutoa mifano ya congo, utadhani huko congo ni mbinguni
mechi kubwa mahudhurio KISODA. picha nyingine ni kiwanja cha ajabu kabisa cha ligi kuu huko kwa ppaa zahera ambaye alishawahi kusema makusu hawezi kuja bongo sababu viwanja vibovu
mechi kubwa mahudhurio KISODA. picha nyingine ni kiwanja cha ajabu kabisa cha ligi kuu huko kwa ppaa zahera ambaye alishawahi kusema makusu hawezi kuja bongo sababu viwanja vibovu