Kwa pesa na Mapenz aliyo nayo Manji kwa Yanga kwa nini anapata kigugumizi kutujengea Uwanja?

Sodoku

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2016
Posts
1,271
Reaction score
2,903
Hili ni jambo ambalo nmekuwa nikijiiuliza sana.bwana yusufu manji pesa anazo na sasa yanga anaiendesha vile atakavyo.yeye ndiye msemaji wa kwanza na wa mwisho. Tunamshukuru kwa kweli.

Leo kwenye mkutano aliulizwa baada ya kusema kuwa ataishikiria team kwa miaka 10 na kuwapa faida ya 25% wanayanga.

Mdau mmoja akaomba hizo pesa zitumike kujengea uwanja. Manji alishindwa la kujibu.alilikwepa hilo pendekezo ambalo ndilo lilikuwa jambo jema kabisa la kuisaidia yanga kuliko kupoteza pesa nying tu kuhakikisha inapata ubingwa kwa hali yoyote.

Je mnajua siri za klabu walivujisha wanachama waliofukuzwa? Ni ngumu sana team zetu kuendelea michezo ya kimataifa kwa style hii.
 

Mimi ni mwanachama hai wa Simba. sina haja ya kuweka namba yangu .

Unafiki mbaya sana
 
Manji kawazidi akili mashabiki njaa wa Yanga hadi wanakodisha timu huku kurupushwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…