Kwa picha: Hali JKIA baada ya marubani wa Kenya Airways kutangaza mgomo

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Abiria wamekuwa wakipanga foleni katika kituo cha wasafiri wa kimataifa katika uwanja wa JKIA ili kujua hali ya safari zao. Baadhi ya safari zimeahirishwa na wateja wengine kuhamishiwa ndege zingine, lakini wengine wao wamesubiri hadi saa 6 kuhudumiwa.






 
WTF... Hizo picha ziko wapi..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…