Kwa picha hii kamwe Kassim Majaliwa hatamsaliti hayati Magufuli

Kwa picha hii kamwe Kassim Majaliwa hatamsaliti hayati Magufuli

Kijogoodi

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,362
Reaction score
2,373
Waliokuwa wanajiuliza ni kwa nini waziri mkuu Kassim Majaliwa mara tu baada ya kumaliza msiba wa hayati rais Magufuli alifanya ziara ya kutembelea bandarini, daraja la kigongo busisi, SGR na bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere na kuwahakikishia watanzania kuwa miradi hiyo iko salama na itaendelezwa kwa kasi na yeyote anayepotosha kwamba miradi hiyo haifai na iachwe apewe fursa ya kutembelea miradi hiyo na kujionea maendeleo badala ya kukaa na kupotosha wananchi, picha hii hapa chini itawafundisha jambo.

Kwa picha hii hapa itakuwa ni vigumu kwa Kassim Majaliwa kumsaliti hayati rais Magufuli.

View attachment 1852590
 
Hawezi kwenda tofauti na anavyotaka Mama.
 
jmm.png
 
Naam. Nakumbuka alisema mwendazake yuko bize na mafaili wakati yuko kwenye mochwari.
Waliokuwa wanajiuliza ni kwa nini waziri mkuu Kassim Majaliwa mara tu baada ya kumaliza msiba wa hayati rais Magufuli alifanya ziara ya kutembelea bandarini ,daraja la kigongo busisi, SGR na bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere na kuwahakikishia watanzania kuwa miradi hiyo iko salama na itaendelezwa kwa kasi na yeyote anayepotosha kwamba miradi hiyo haifai na iachwe apewe fursa ya kutembelea miradi hiyo na kujionea maendeleo badala ya kukaa na kupotosha wananchi, picha hii hapa chini itawafundisha jambo.

Kwa picha hii hapa itakuwa ni vigumu kwa Kassim Majaliwa kumsaliti hayati rais Magufuli.
View attachment 1852590
 
Waliokuwa wanajiuliza ni kwa nini waziri mkuu Kassim Majaliwa mara tu baada ya kumaliza msiba wa hayati rais Magufuli alifanya ziara ya kutembelea bandarini ,daraja la kigongo busisi, SGR na bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere na kuwahakikishia watanzania kuwa miradi hiyo iko salama na itaendelezwa kwa kasi na yeyote anayepotosha kwamba miradi hiyo haifai na iachwe apewe fursa ya kutembelea miradi hiyo na kujionea maendeleo badala ya kukaa na kupotosha wananchi, picha hii hapa chini itawafundisha jambo.

Kwa picha hii hapa itakuwa ni vigumu kwa Kassim Majaliwa kumsaliti hayati rais Magufuli.
View attachment 1852590
Watajuana wenyewe na marehemu
 
Do, hiyo picha si mchezo asee inaeleza every thing na hapo ndipo tutaendelea kumuenzi late J 😁!.
 
Ukikaa unafanya jambo Fulani kwa mda mrefu kwa kurudia rudia,, Hilo jambo linakaa moyoni na linakuwa Imani.

Majaliwa ameshafanya mambo na maamuzi ya aina moja chini ya Jemedari JPM kwa wakati mrefu na hivyo ishakuwa Imani. Na hivyo hawezi kumsariti Hayati kirahisi rahisi tu.

Hata Mama mwenyewe hawezi.

Vitu vingine ni vidogovidogo tu kam vile Mama hawezi kuwa na flow na Mentality ya Hayati lakini Imani ya Maamuzi na ya uchapa kazi ishakaa.
 
Waliokuwa wanajiuliza ni kwa nini waziri mkuu Kassim Majaliwa mara tu baada ya kumaliza msiba wa hayati rais Magufuli alifanya ziara ya kutembelea bandarini ,daraja la kigongo busisi, SGR na bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere na kuwahakikishia watanzania kuwa miradi hiyo iko salama na itaendelezwa kwa kasi na yeyote anayepotosha kwamba miradi hiyo haifai na iachwe apewe fursa ya kutembelea miradi hiyo na kujionea maendeleo badala ya kukaa na kupotosha wananchi, picha hii hapa chini itawafundisha jambo.

Kwa picha hii hapa itakuwa ni vigumu kwa Kassim Majaliwa kumsaliti hayati rais Magufuli.
View attachment 1852590

Kwani kuna mpango ni kumsaliti Magufuli au kufanya kazi? Ni kufanya kazi Au kutofanya kazi ndio usaliti?
 
Yuko rc mmoja anaendeleza akili zile ambulance za miguu mitatu aka ambulance gutta. Abajitoa ufahamu kwamba hatumia Vx na kiyoyozi. Mawazi tu ndio wenye hiyo stahiki. Hawa wsindio wamsaidie Mh Mama SSH. Huwezi kutaja Mafanikio ya JPM ukaacha kumtaja Mh PM Majaliwa. Wako na wengine wasaidizi wa mkono wa kuume wa JPM. Siku maji yakiwafika shingoni watachomoka mmoja mmoja ili kuhesabiwa.
 
Ukikaa unafanya jambo Fulani kwa mda mrefu kwa kurudia rudia,, Hilo jambo linakaa moyoni na linakuwa Imani.

Majaliwa ameshafanya mambo na maamuzi ya aina moja chini ya Jemedari JPM kwa wakati mrefu na hivyo ishakuwa Imani. Na hivyo hawezi kumsariti Hayati kirahisi rahisi tu.

Hata Mama mwenyewe hawezi.

Vitu vingine ni vidogovidogo tu kam vile Mama hawezi kuwa na flow na Mentality ya Hayati lakini Imani ya Maamuzi na ya uchapa kazi ishakaa.
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom