Safi mkuuYuko rc mmoja anaendeleza akili zile ambulance za miguu mitatu aka ambulance gutta. Abajitoa ufahamu kwamba hatumia Vx na kiyoyozi. Mawazi tu ndio wenye hiyo stahiki. Hawa wsindio wamsaidie Mh Mama SSH. Huwezi kutaja Mafanikio ya JPM ukaacha kumtaja Mh PM Majaliwa. Wako na wengine wasaidizi wa mkono wa kuume wa JPM. Siku maji yakiwafika shingoni watachomoka mmoja mmoja ili kuhesabiwa.
Makosa makubwa yaliyomwondoa Magufuli ni haya:Waliokuwa wanajiuliza ni kwa nini waziri mkuu Kassim Majaliwa mara tu baada ya kumaliza msiba wa hayati rais Magufuli alifanya ziara ya kutembelea bandarini, daraja la kigongo busisi, SGR na bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere na kuwahakikishia watanzania kuwa miradi hiyo iko salama na itaendelezwa kwa kasi na yeyote anayepotosha kwamba miradi hiyo haifai na iachwe apewe fursa ya kutembelea miradi hiyo na kujionea maendeleo badala ya kukaa na kupotosha wananchi, picha hii hapa chini itawafundisha jambo.
Kwa picha hii hapa itakuwa ni vigumu kwa Kassim Majaliwa kumsaliti hayati rais Magufuli.
View attachment 1852590
Hakuna lolote kashavuta mibangi yake huyuInaelezea nini hii picha?
Charles mbowe nae ameondoka kwa sababu alikuwa anamkejeli Mungu?Makosa makubwa yaliyomwondoa Magufuli ni haya:
1. alikuwa anamkejeli Mungu
2. alikuwa anatuzingua sisi wana wa Mungu
So, Mungu did what needed to be done. And in a timely fashion!
Warithi wa Magufuli wakidiriki kufanya aliyoyafanya mtangulizi wao, nao watafyekwa sawia. Hii inaitwa divine intervention for the well being of the beloved sons & daughters of the Almighty God Himself!
Inawezekana!Charles mbowe nae ameondoka kwa sababu alikuwa anamkejeli Mungu?
Ni vyema ukajikita kwenye hojaNchi ipo chini ya mtu mmoja tu Rais Samia na wasaidizi wake hakuna anachoweza kufanya waziri mkuu makamu wa Rais wala mawaziri bila Rais kuamua hii inafuata utaratibu huo kama ambavyo marehemu Magufuli nchi ilikuwa chini yake na wengine wote walikuwa wasaidizi
Virus gani wewe?Msiwe mna click kwenye link ovyo ovyo,mingine ni mitego ya kuwawekea virus kwenye simu zenu