Kwa picha hii kamwe Kassim Majaliwa hatamsaliti hayati Magufuli

Safi mkuu
 
Makosa makubwa yaliyomwondoa Magufuli ni haya:

1. alikuwa anamkejeli Mungu
2. alikuwa anatuzingua sisi wana wa Mungu

So, Mungu did what needed to be done. And in a timely fashion!

Warithi wa Magufuli wakidiriki kufanya aliyoyafanya mtangulizi wao, nao watafyekwa sawia. Hii inaitwa divine intervention for the well being of the beloved sons & daughters of the Almighty God Himself!
 
Charles mbowe nae ameondoka kwa sababu alikuwa anamkejeli Mungu?
 
Nchi ipo chini ya mtu mmoja tu Rais Samia na wasaidizi wake hakuna anachoweza kufanya waziri mkuu makamu wa Rais wala mawaziri bila Rais kuamua hii inafuata utaratibu huo kama ambavyo marehemu Magufuli nchi ilikuwa chini yake na wengine wote walikuwa wasaidizi
 
Ni vyema ukajikita kwenye hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…