Kwa picha: Nauza babaywalker ya pikipiki

Behaviourist

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2016
Posts
39,926
Reaction score
95,626
Inakula mafuta kiduchu sana.Unaenda nayo popote kuanzia sokoni,kazini,kanisani hadi kwenye kula kitimoto. Inapita popote katika majira yote ya mwaka.

Changamoto: Haina siti/kiti cha kuwapa watu lifti๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

 
Balance yake vipi maana inaonekana kama huna uzoefu nacho, ukiweka gia au ukishika breki wewe ndio unageuka kuwa tairi ๐Ÿ˜ฌ
Naweza kukitumia kwenye barabara za mpalange?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ