Kwa point tuliyofika kama nchi chadema hakimuhitaji tena mbowe kama mwenyekiti huo ndo ukweli

Kwa point tuliyofika kama nchi chadema hakimuhitaji tena mbowe kama mwenyekiti huo ndo ukweli

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kwa point tuliyofika kama nchi kunahitajika mwenyekiti wa chadema kama chama kikuu cha upinzani ambaye yuko tayari kwa mambo yafuatayo ambayo sidhani kama mbowe anayaweza
  • Kukaa jela hata miaka 10
  • Kufa
  • Kuteswa
Kwa sababu ccm sio tena chama cha siasa ni genge la wahuni mfano uchaguzi wa serikali za mitaa ile picha ya uchaguzi mkuu wa mwakani sasa mbowe hana tena mbinu yatafanyika haya yaliyofanyika alafu mbowe ataishia tu kutoa vitisho

Kwa point tuliyofika inatakiwa ccm wakiweka mguu na chadema wanaweka mguu, wakiweka kichwa na chadema wanawake kichwa siasa za kubwmbelezana tena hazipo

Wewe mwenyekiti wafuasi wako wanachomolewa kwenye gari anaenda kuuliwa wewe upo tu na matamko, wengine wanatekwa wanapotezwa wewe upo na matamko huo ni udhaifu mkubwa sana wataendelea kufanya hivyo maksudi kwa sababu wanajua mbowe ni mtu wa matamko
 
Back
Top Bottom