NakaziaSiku hizi watu wanaenda na vipimo kiwandani; zinaweza kuingia chache kwa urefu tofauti tofauti
Wadau hii imekosa majibu?Nimeweka floor plan, ni kajumba kadogo dogo 1-master, 1-single Public toilet, Kitchen with 2 verandah, msaada ninunue bati ngapi wakuu?
Bila vipimo?Wadau hii imekosa majibu?