Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Kwahiyo mnadhani hiyo ethopian airline itapata shida maeneo ya Chato ndiyo maana mkajenga uwanja wa ndege wa kimataifa hapo Chato?Unajua kuwa ethiopian airlines ilipata shida ikatua kisongo airport arusha na kuhatarisha usalama wa watu sababu uwanja ulikuwa mdogo?
Kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na viwanja vingi kuruhusu ndege kutua yanapotokea majanga au dharura kwa ajili ya usalama.
Lakini ni kwa sababu we upeo wako wa kuona mbali ni mdogo..kule kuna mbuga ya wanyama pia. Lakini ikitokea tatizo lolote mwanza airport, chato aitpory itatumika pia. Kwa hiyo ondoa huo ukungu
Umeishia la ngapi wewe?We jamaa kusema yeye si ngosha au jiwe hiyo personal conflicts, mwenye chuki binafsi ni babu yenu kama alikuwa tayari kuwanyima wana ikungi maji kisa ni jimbo la lissu hizo ndo chuki binafsi not political differences
la tano cUmeishia la ngapi wewe?
mkuu siasa ni uvumilivu kama huna huvumilivu basi siasa iakua haikupendi japo wailazimisha ikupende kwa bahati mbaya tuNi kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Wewe magufuri haishi mbinguni , haishi na malaika anaishi na binadamu hivyo mipango yake yote inajulikana , Ameshaona uwezekano wa kumshinda Lissu au Membe kwenye sanduku la kura haupo , ameshaagiza tume isipitishe majina yao hasa la Lissu ushahidi huu hapa.Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
“magufuri”.....seriously???Wewe magufuri haishi mbinguni ,haishi na malaika anaishi na binadamu hivyo mipango yake yote inajulikana , Ameshaona uwezekano wa kumshinda Lissu au Membe kwenye sanduku la kura haupo ,ameshaagiza tume isiputishe majina yao hasa la Lissu ushahidi huu hapa.
Lissu anaamini Mzee ndio yuko ya yeye kupigwa risasiNi kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Tundu Lissu siyo ngosha?Acha woga wako. TL siyo ngosha wala jiwe. Huo ni ukweli. He wanted TL dead. Unataka amchekee wa nini. Wewe ungemchekea mtu anayetaka kukua? Maswali mengine, basi tu.
Nimekuwa nasema lijamaa limekuwa ZWAZWA sieleweki na wachache lakini anazidi kujidhihirisha Sikh baada ya sikuWewe jamaa unapenda sana kujiona unajua kila kitu pia kujiona upo juu, hiyo inaweza kuwa ni delusion disorder nakushauri ukapime afya ya akili
Asikupotezee muda.Wee jamaa basi nikajua katukana tena nikajiuliza atukane wapi wakati majemedari muda wote tupo naye? Kumbe ni neno Jiwe...Si alijiita mwenyewe! Kuna mtu alimbatiza? Na kama akiitwa Jiwe anafurahia utajuaje?
"MIMI NI JIWE KWERIKWERI" Nimemnukuu na inawezekana ulikuwa humfuatilii
Pingamizi tutakalomuwekea mgombea wa kabila lako ni kama lile la BirtherismNi kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Pili, nipo upande wa Lissu wa kutotaka jina lake lisienguliwe
Actually, Lissu ana roho nzuri na ya ajabu sana. Kitendo alichofanyiwa ni zaidi ya Mandela alivyofanya na Makaburu... Cha ajabu jamaa bado anaongea kwa furaha na tabasamu bila hasira za wazi. Nyani Wew mwenyewe matusi ya JF sometimes yanakupa shida... Imagine 16 bullets in your body. Lissu is the man...!!Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.
Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].
Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.
Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.
Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.
Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.
Unamjua aliyemfanyia?Actually, Lissu ana roho nzuri na ya ajabu sana. Kitendo alichofanyiwa ni zaidi ya Mandela alivyofanya na Makaburu... Cha ajabu jamaa bado anaongea kwa furaha na tabasamu bila hasira za wazi. Nyani Wew mwenyewe matusi ya JF sometimes yanakupa shida... Imagine 16 bullets in your body. Lissu is the man...!!