KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Kwa masaa machache yaliyobaki CCM watampata mgombea urais aliye bora au ndo ile tufanyeje na huyu anafaa?? kwakawaida tumekuwa tukipata mgombea urais tangu February leo tunakaribia Juni hakuna anayejua nani ji nani? yawezekana hii ni dalili ya kuchoka kwa chama kikongwe??