johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nashauri Msajili wa Vyama Vya siasa Mh Jaji Mutungi kumzuia katibu mkuu wa Chadema Mh Mnyika Kufanya mkutano wa waandishi wa Habari Kesho
Press ya Chadema ifanyike baada ya wageni kuondoka
Ikumbukwe Chadema ni Chama kikuu Cha upinzani na haijulikani Kesho wamepanga kuongea nini hali inayoweza kuwatia hofu Mabalozi na wageni wetu
Mtanishukuru baadae Mlale unono 😄
Press ya Chadema ifanyike baada ya wageni kuondoka
Ikumbukwe Chadema ni Chama kikuu Cha upinzani na haijulikani Kesho wamepanga kuongea nini hali inayoweza kuwatia hofu Mabalozi na wageni wetu
Mtanishukuru baadae Mlale unono 😄