johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ukiisoma vizuri katiba ya Zanzibar utagundua kuwa chama kinachotoa makamu wa kwanza wa Rais nacho kinakuwa ni chama tawala na kinatoa Mawaziri wawili muhimu.
Hii maana yake ni kuwa ACT-Wazalendo ni chama tawala pia na hata makamu wa kwanza wa Rais maalimu Seif akija Tanganyika itifaki inamtambua kwa nafasi yake.
Kwa sasa siyo rahisi kwa mh Mbowe au Tundu Lisu kumkaribia makamu wa kwanza wa Rais maalimu Seif bila kuzingatia taratibu zilizowekwa kikatiba na kiitifaki.
Ndio kusema CHADEMA bado ni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama
Hii maana yake ni kuwa ACT-Wazalendo ni chama tawala pia na hata makamu wa kwanza wa Rais maalimu Seif akija Tanganyika itifaki inamtambua kwa nafasi yake.
Kwa sasa siyo rahisi kwa mh Mbowe au Tundu Lisu kumkaribia makamu wa kwanza wa Rais maalimu Seif bila kuzingatia taratibu zilizowekwa kikatiba na kiitifaki.
Ndio kusema CHADEMA bado ni chama kikuu cha upinzani.
Maendeleo hayana vyama