Unasikiliza ngoma zake huyu jamaa au una diss tuAhaaaa unazingu,kwahiyo bongo nzima hakuna hip hop anae imba mashairi ya kuelimisha na kukutia moyo.Huyo darasa wako kaibuka tyu juzi unampa promo hadi unajisaha kama kunawakali wa hip hop kama akina joh makini,mwanafa fdq.....,,,
Watakuita hater.From a hip-hop perspective, his new song is garbage in most senses.
Watakuita hater.
Jana nilisema kitu kama hiki nikashambuliwa.
Mi nlisema hapa ile ngoma takeu,, wakaniita hater,. Semeni nyie.From a hip-hop perspective, his new song is garbage in most senses.
Mkuu usibishane na watoto wameanza kusikiliza rap enzi za T.I na RihannaFrom a hip-hop perspective, his new song is garbage in most senses.
Nyimbo ina ukali wake wa kibongo-bongo sio kudiss kama wewe unavyodiss like jamaa aache kabisa mziki ampishe fulani pekee,Mi nlisema hapa ile ngoma takeu,, wakaniita hater,. Semeni nyie.