Kwa sasa sijaona klabu yoyote ile ya kuifunga Yanga SC ukandaa huu wa Afrika Mashariki na Kati

Kwa sasa sijaona klabu yoyote ile ya kuifunga Yanga SC ukandaa huu wa Afrika Mashariki na Kati

Kinumbo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
3,039
Reaction score
5,560
Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati klabu bora zaidi kwa sasa ni Yanga SC, ukubali ukatae ila huu ndio ukweli mchungu. Binafsi sijaona klabu inayo weza kupambana na Yanga uwanjani ikatoka na matokeo chanya.

Mimi sio shabiki wala mwanachama wa klabu ya Yanga SC wala katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi kukumbwa na pepo la Usimba na Uyanga bali mimi ni mpenzi wa michezo. Nafuatilia michezo yote na katika hilo nimeona klabu ya Yanga SC kwa sasa iko vizuri sana uwanjani.

Ukitaka kuthibitisha hilo ifuatilie hiyo klabu.
 
Haiwezekani ukapenda michezo bila kuwa na timu. Ni viongozi tu ndo huficha mahaba yao na timu ila yapo. Mambo kama vita na mengineyo sawa ila si soka. Lazima utajikuta umependa Club fulani.
 
Ligi ilianza wiki mbili zilizopita na katika michezo yote iliyochezwa hakujakuwa na malalamiko dhidi ya marefa,tafadhali kuanzia mechi ya Yanga leo hali iwe shwari,maana mmezoea nyie
 
Inawezekana ni maamuzi tu
Haiwezekani ukapenda michezo bila kuwa na timu. Ni viongozi tu ndo huficha mahaba yao na timu ila yapo. Mambo kama vita na mengineyo sawa ila si soka. Lazima utajikuta umependa Club fulani.
 
Yanga ina timu bora lakini yapo mazingira yanayoweza kusababisha wapoteze mchezo kama hali ya uwanja na hali ya hewa.

Vilevile wanatakiwa wasidharau timu yoyote... Argentina ilifungwa na Saudi
 
Mkuu binafsi yangu nafuatilia tu michezo ila sina mapenzi ya timu fulani.
Labda useme hupendi mpira ila kazi yako inakuhusisha na mpira mfano waziri wa michezo.
 
Mkuu binafsi yangu nafuatilia tu michezo ila sina mapenzi ya timu fulani.
Ndo nilichosema boss. Una objective nyingine nje ya mapenzi na soka ndo maana unafuatilia.
 
Ligi ilianza wiki mbili zilizopita na katika michezo yote iliyochezwa hakujakuwa na malalamiko dhidi ya marefa,tafadhali kuanzia mechi ya Yanga leo hali iwe shwari,maana mmezoea nyie
Wengi wanapenda kuangalia mpira mzuri japo kuna wale wasiopenda mafanikio ya yanga sc kwa makosa madogo wanatokwa na mishipa ya damu huenda mbali zaidi na kujizima data
 
Azam 1 Yanga 0.
Tabora utd 3 Yanga 1.

Shabiki maandazi wewe

Hujui mpira wewe

Yanga asifungwe ana mabeki majini

Huyo bwabwa yanga kala chuma 4 mechi 2
 
Vitoto vya elfu 2 vikishashibaga makande vinakuja miknd juu juu ooh yanga hafungwi ooh yanga hafungiki ooh yanga utaifungaje shubamiit zenu,mechi 2 chuma 4.
 
Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati klabu bora zaidi kwa sasa ni Yanga SC, ukubali ukatae ila huu ndio ukweli mchungu. Binafsi sijaona klabu inayo weza kupambana na Yanga uwanjani ikatoka na matokeo chanya.

Mimi sio shabiki wala mwanachama wa klabu ya Yanga SC wala katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi kukumbwa na pepo la Usimba na Uyanga bali mimi ni mpenzi wa michezo. Nafuatilia michezo yote na katika hilo nimeona klabu ya Yanga SC kwa sasa iko vizuri sana uwanjani.

Ukitaka kuthibitisha hilo ifuatilie hiyo klabu.
Ni kweli. Ulipofuka ungewezaje kuiona Tabora?
 
Ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati klabu bora zaidi kwa sasa ni Yanga SC, ukubali ukatae ila huu ndio ukweli mchungu. Binafsi sijaona klabu inayo weza kupambana na Yanga uwanjani ikatoka na matokeo chanya.

Mimi sio shabiki wala mwanachama wa klabu ya Yanga SC wala katika maisha yangu mpaka sasa sijawahi kukumbwa na pepo la Usimba na Uyanga bali mimi ni mpenzi wa michezo. Nafuatilia michezo yote na katika hilo nimeona klabu ya Yanga SC kwa sasa iko vizuri sana uwanjani.

Ukitaka kuthibitisha hilo ifuatilie hiyo klabu.
Hivi zinakutosha kweli ? Tabora United inatoka America ya Kusini?
 
Back
Top Bottom