Kwa sasa wapinzani hasa CHADEMA hawana hoja mujarabu kuisurubu CCM

Kwa sasa wapinzani hasa CHADEMA hawana hoja mujarabu kuisurubu CCM

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Mimi nawajua hawa jamaa vizuri wao wanayo namna ya kutafuta kiki za kisiasa kwa kutumia udhaifu na makosa ya CCM. CCM ikijisahau na kufanya makosa kwa kuruhusu ufisadi basi hapo ndipo hukomaa na kusimamisha misuri ya shingo.

CCM isipotekeleza sera na ilani ya uchaguzi vizuri. Wao hushupaza shingo na kubwata. Hapa huwa wanapata kick za kisiasa kupata umaarufu.

Sasa wapo kimya kikuu maana hawana hoja mujarabu ya kuwainua kisiasa.
 
Mimi nawajua hawa jamaa vizuri wao wanayo namna ya kutafuta kiki za kisiasa kwa kutumia udhaifu na makosa ya CCM. CCM ikijisahau na kufanya makosa kwa kuruhusu ufisadi basi hapo ndipo hukomaa na kusimamisha misuri ya shingo.

Ccm isipotekeleza sera na ilani ya uchaguzi vizuri. Wao hushupaza shingo na kubwata. Hapa huwa wanapata kick za kisiasa kupata umaarufu.

Sasa wapo kimya kikuu maana hawana hoja mujarabu ya kuwainua kisiasa.
Hebu tulia kwanza, drink water kidogo then usubiri mziki wake! Tulia kwanza
 
Kwa sasa hivi wao mambo wanasema yako safi baada ya kifo cha Magufuli, na kina Bashiru kutolewa uongozi ccm.

Yani kwa mujibu wao uchaguzi ukiitishwa leo wanashinda kwa kishindo maana aliekuwa anazuia wao kushinda kafariki.

Kiufupi tunademka nao kumtakia Samia mi 10 tena
 
Ndiyo nyie ccm kuleni nchi kwa wizi! Nina hakika kama siyo wizi wa kura zaidi ya 50% ya wabunge wangekuwa wapinzani! Mungu atawalipa pole pole hapa hapa duniani!!
 
Back
Top Bottom