Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
Jihadhari naKijana huyu wa Kikenya anayetumia account ya FB ya Fr. Theodore Walters kuombamsaada wa nauli kumsafirisha mmoja wa wanafunzi wanaodaiwa kufadhiliwa gharamaza masomo na Fr.Walters huko Kampala University Uganda na kwenda Nairobi Kenyakwa ajili ya matibabu.
Ni mkasa wakufurahisha kidogo kutokana na mbinu anazozitumia kufanikisha hujuma hiyo.
Somamahojiano ambatanishwa hapo chini

Fr. Theodore Walters
Ni mkasa wakufurahisha kidogo kutokana na mbinu anazozitumia kufanikisha hujuma hiyo.
Somamahojiano ambatanishwa hapo chini

Fr. Theodore Walters