Ukiangalia na kiuchumi pia case study kama za Canada na New Zealand mwanzo gvt ndo ilkuw ina own na kuoperat airline zao na xio airline tu ila baadh ya business pia ila kweny transformation zao waliziacha na kuwa private owned leo izoo nchii zina onekana ndo prosperous dunian n kuigwa na nchi nyingi sas sis tunajfunz nn kutoka kwao pia ni effect gan iliopo kwny uchumi kma kutakuwapo na airtanzania which owned by gvt 100%