Kwa Sheria za nchi yetu hii Imekaaje Wataalam?

Kwa Sheria za nchi yetu hii Imekaaje Wataalam?

Elon Maskini

Member
Joined
Jan 10, 2023
Posts
88
Reaction score
180
Huyu jamaa inaonekana alikuwa anafahamu kaoa kiumbe cha aina gani tangu awali kabisa.

Ashraff.jpg
 
Binafsi maishani mwangu Pasu Pasu haitatokea. All in all napambana sana Kuhakikisha kesho wa watoto wangu ipo njema. Hivyo likitokea la kutokea still watoto wangu ndio wanufaika wa kwanza
 
Back
Top Bottom