Kwa Sheria za nchi yetu hii Imekaaje Wataalam?

Binafsi maishani mwangu Pasu Pasu haitatokea. All in all napambana sana Kuhakikisha kesho wa watoto wangu ipo njema. Hivyo likitokea la kutokea still watoto wangu ndio wanufaika wa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…