Kwa sheria za sasa Azam ndie wa kumtegemea alete kombe la CAF, Simba na Yanga hawawezi

Kwa sheria za sasa Azam ndie wa kumtegemea alete kombe la CAF, Simba na Yanga hawawezi

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Kwa sheria za sasa timu zinazoingia CAF mabingwa haziwezi kudondokea CAF Shirikisho, Ukitoka umetoka!

Na kama ilivyozoeleka katika ligi kuu yetu nafasi ya kwanza na ya pili huwa ni Simba na Yanga, Hizo timu moja kwa moja zinaenda CAF mabingwa.

Huko CAF mabingwa tusijizime data, Hio ligi ina wenyewe, sana sana ikitokea bahati labda basi ni kufikia nusu fainali.
 
Kwa sheria za sasa timu zinazoingia CAF mabingwa haziwezi kudondokea CAF Shirikisho, Ukitoka umetoka!

Na kama ilivyozoeleka katika ligi kuu yetu nafasi ya kwanza na ya pili huwa ni Simba na Yanga, Hizo timu moja kwa moja zinaenda CAF mabingwa.

Huko CAF mabingwa tusijizime data, Hio ligi ina wenyewe, sana sana ikitokea bahati labda basi ni kufikia nusu fainali.
Kulingana na kichwa cha habar nilitegemea Azam atakua ndio kinara wa bandiko lako
 
Simba na Yanga champions.
Azam na Singida shirikisho.

Azam uwa bora kwa Simba na Yanga tu akikutana na timu zingine za nje au ndani anakua viazi.
 
Kwa sheria za sasa timu zinazoingia CAF mabingwa haziwezi kudondokea CAF Shirikisho, Ukitoka umetoka!

Na kama ilivyozoeleka katika ligi kuu yetu nafasi ya kwanza na ya pili huwa ni Simba na Yanga, Hizo timu moja kwa moja zinaenda CAF mabingwa.

Huko CAF mabingwa tusijizime data, Hio ligi ina wenyewe, sana sana ikitokea bahati labda basi ni kufikia nusu fainali.
Mwakani Azzam wanacheza club bingwa na Yanga Simba atacheza shirikisho.

Wanaojuwa mpira wanaelewa vizuri ukweli huu.
 
Mwakani Azzam wanacheza club bingwa na Yanga Simba atacheza shirikisho.

Wanaojuwa mpira wanaelewa vizuri ukweli huu.
Kweli Simba na Yanga zinafanya hadi logic ya mtu mwenye PhD inakuwa kama ya mtoto wa chekechea.
 
Back
Top Bottom