Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
Ujue hatukuandikii wewe, watatuelewa tunaowaandikia ili waboreshe yale tunayolalamikia hata kwenye dirisha dogo.Na nyie sasa nyuzi za hivi tumezichoka. Ndio dirisha limefungwa na wachezaji wetu ndo hao kinachofata ni mbele kwa mbele. Hao Waliosajili vzr mbona sioni maajabu yao? Cha msingi tuambatane na wachezaji wetu tuwashangilie na kuwatia moyo mbona humo kuna wachezaji wazuri tuu? Lawama na kulalamika wakati hauwezi kubadili lolote ni kujipotezea muda tuu.
Kuna thread za hivi kama kumi inamaana hawajasikia tuuuUjue hatukuandikii wewe, watatuelewa tunaowaandikia ili waboreshe yale tunayolalamikia hata kwenye dirisha dogo.
Vingnevyo hata wewe huwezi kutupangia cha kuandika maana huna hisa jf, tunaumia timu tunaichangia asee ebu tulia.
10 tu??? Zinatakiwa kuwa milioni.Kuna thread za hivi kama kumi inamaana hawajasikia tuuu
Siwezi kuskip ndo shida10 tu??? Zinatakiwa kuwa milioni.
Unachoweza kufanya wewe ukiona inahusu mambo Simba fanya kuskip tu mkuu.
Hawa wengine ni vibwengo wa Utopolo wanachafua hali ya hewa kwa vinyesi kwenye vyupi vyaoNa nyie sasa nyuzi za hivi tumezichoka. Ndio dirisha limefungwa na wachezaji wetu ndo hao kinachofata ni mbele kwa mbele. Hao Waliosajili vzr mbona sioni maajabu yao? Cha msingi tuambatane na wachezaji wetu tuwashangilie na kuwatia moyo mbona humo kuna wachezaji wazuri tuu? Lawama na kulalamika wakati hauwezi kubadili lolote ni kujipotezea muda tuu.
Huyo Dejan hata mmtie moyo, filigisi na figo bado mtakwamaNa nyie sasa nyuzi za hivi tumezichoka. Ndio dirisha limefungwa na wachezaji wetu ndo hao kinachofata ni mbele kwa mbele. Hao Waliosajili vzr mbona sioni maajabu yao? Cha msingi tuambatane na wachezaji wetu tuwashangilie na kuwatia moyo mbona humo kuna wachezaji wazuri tuu? Lawama na kulalamika wakati hauwezi kubadili lolote ni kujipotezea muda tuu.
Haya mdauHuyo Dejan hata mmtie moyo, filigisi na figo bado mtakwama
Tarehe 23 Oktoba, mashabiki tutapiga kelele mpaka Mzungu wetu aanze, ili awalaze Wananchi na viatu kwa kutupia hat trik.Huyo Dejan hata mmtie moyo, filigisi na figo bado mtakwama