Kwa Simba hii, watani zetu Yanga mkajipange

Yaani hizo kelele ni kwa ajili simba imesajili na wabrazil ambao baadhi yao statistics zinaonyesha walistaafu soka kidogo kisha wakaibukia mtumbwi FC. Kelele zitaisha.

NB: ukiniwekea hapa statistics za Al Shabab Wa sudani natapika hapahapa
Tulia dawa ikuingie mkuu
 

Hao wachezaji waliotoka Yanga kwenda Simba hawatacheza mpira...hakuna mchezaji wa Yanga aliyewahi kwenda Simba akafanikiwa...Hii ndiyo historia...Gadiel hatacheza mpira, Beno Kakolanya naye hatadaka...kidogo Ajibu anaweza akafurukuta kwani amerudi kwao lakini naye hatadumu...Lakini kwa Gadiel na Beno Kakolanya hapana...hawachezi hao....ilikuwa hivyo kwa Niyonzima, alicheza kidogo miezi miwili ya mwisho na sasa hayupo huko...Gadiel anaweza akacheza mwezi mmoja au miwili na ukawa ndiyo mwisho wake...Huu ndio ukweli...
 
Kwa wabrazili hakuna aliyeowaona wakicheza kabla ya kusajiliwa Simba labda aliyewasajili. Nafikiri kwa sasa hivi ni mapema sana kuwapa sifa cha msingi tusubiri tuwaone tena sio kwenye mechi moja angalau mechi tano ndio tuweze kuwasifia.
 
Kwa wabrazili hakuna aliyeowaona wakicheza kabla ya kusajiliwa Simba labda aliyewasajili. Nafikiri kwa sasa hivi ni mapema sana kuwapa sifa cha msingi tusubiri tuwaone tena sio kwenye mechi moja angalau mechi tano ndio tuweze kuwasifia.
Yule Mbrazili Mshambuliaji sijui kama atauweza mpira wa Bongo.
Yuko soft sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…