Kwa soka la Bongo Fadlu Davis akifungwa na Yanga na akatolewa Kombe la Shirikisho anafukuzwa

Kwa soka la Bongo Fadlu Davis akifungwa na Yanga na akatolewa Kombe la Shirikisho anafukuzwa

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari!

Kwa mfumo wa soka la Bongo hapa hakuna mabishano na ukibisha labda tu uamue ila ki uhalisia Kwa soka la Bongo linavyoendeshwa Kwa Hisia Kali za Mashabiki Tena kuangalia upande mwingine wanawasema vipi.

Tegemeeni Fadlu kufurushwa endapo atapata matokeo Mabovu vs Yanga na akatolewa na Al Masry.

Msiwaamini eti wanajenga Timu.

Hayo wanayasema tu Kwa kua wapo wanaona Wana dalili za kubeba bunigwa ila wakifungwa wakapoteza ndoto hizo na wakatolewa na Al Masry, Fadlu habaki.

Nje na hapo Fadlu ashinde hizo games hasahasa hii game ya weekend.
 
Binafsi nimemfikishia ujumbe kuwa.
Amuache Benchi Jean Charles Aohua.

Badala yake amtumie Debora Ferdnandez Mavambo kwenye No 10

Aohua atamcost
 
We ungekuwa Zubeida ungemuacha kwa kariba ya Simba hiyo ni aibu lazima afukuzwe kocha la ball Mgunda na matola wapewe team kwa muda
 
Tunashida ya ulinzi, pili tuna shida eneo la ushambuliaji hapo tukifamya marekebisho tutafika mbali
 
Kwani Yanga walivyofungwa na Azam pamoja na Tabora walimuacha Gamond?
 
Habari!

Kwa mfumo wa soka la Bongo hapa hakuna mabishano na ukibisha labda tu uamue ila ki uhalisia Kwa soka la Bongo linavyoendeshwa Kwa Hisia Kali za Mashabiki Tena kuangalia upande mwingine wanawasema vipi.

Tegemeeni Fadlu kufurushwa endapo atapata matokeo Mabovu vs Yanga na akatolewa na Al Masry.

Msiwaamini eti wanajenga Timu.

Hayo wanayasema tu Kwa kua wapo wanaona Wana dalili za kubeba bunigwa ila wakifungwa wakapoteza ndoto hizo na wakatolewa na Al Masry, Fadlu habaki.

Nje na hapo Fadlu ashinde hizo games hasahasa hii game ya weekend.
YANGA NA AL MASRY TENA????????
 
Back
Top Bottom