Utaelewa mbeleni, tunza uzii huu na ule wa "siziamini Beki za Kati za Yanga kimataifa".Huko kimataifa hua mnakuja na nini maana mikwara kibao hakuna hata medal yoyote
Tunza mada hiii kwa faida yako. Utaelewa somo na kufauru. Muda ni hakimuKama nguvu ndo zinaifanya timu icheze michezo 38 bila kupoteza basi iyo nguvu ni bora zaidi ya akili, maana wanaotumia akili mpaka sasa hivi awana cha kujivunia, wamepigwa nje ndani, makombe yote wamenyang'anywa wamebaki kuokoteza visababu vya ovyo ovyo wameshupaza shingo kutokubali uwezo na ubora wa wenzao walivyosajili kiufundi, Ni hasara sana kuwa na roho za husuda na chuki zinazidi kuwatumbukiza shimoni
Kwani wale vipers mlicheza nao mbeya au mkwakwani ninachojua yanga mara ya mwisho kushinda mechi ya kimataifa ilikuwa 2015 kama unabisha lete takwimu hapo utopolo pro max watu wanawaza super league nyie bado mnapiga kelele NBC premier league na kuifunga simba.Nimewaangalia mechi zao wanazocheza mfululizo kwa mkapa nikaamini moja kwa moja kuwa yanga anakwenda kubeba ndoo nyingine msimu huu, wanayo mapungufu mengi sana kiufundi, na mapungufu ayo yanaonekana wakiwa uwanja wa taifa vipi wakianza kutoka nje kwenye viwanja vigumu ambavyo avichezeki? Ninawaona wanakwenda kudondosha point nyingi viwanja vya ugenini
Kabisa mkuu ika ukiwaambia ukweli wakali hao...Nimewaangalia mechi zao wanazocheza mfululizo kwa mkapa nikaamini moja kwa moja kuwa yanga anakwenda kubeba ndoo nyingine msimu huu, wanayo mapungufu mengi sana kiufundi, na mapungufu ayo yanaonekana wakiwa uwanja wa taifa vipi wakianza kutoka nje kwenye viwanja vigumu ambavyo avichezeki? Ninawaona wanakwenda kudondosha point nyingi viwanja vya ugenini
Kila mkipata kipigo mnalalamika kua yanga inawaza kuifunga tu simba kimataifa haina lolote. Nyie huko mna kombe gani? Na pia kwa nn mnaingiza timu uwanjani kama mnajua mtafungwa na yanga? 😁Kwani wale vipers mlicheza nao mbeya au mkwakwani ninachojua yanga mara ya mwisho kushinda mechi ya kimataifa ilikuwa 2015 kama unabisha lete takwimu hapo utopolo pro max watu wanawaza super league nyie bado mnapiga kelele NBC premier league na kuifunga simba.
Yanga mkija kushtuka simba imeshawaacha mbali super league Africa mashariki itawakilishwa na simba pekee endeleeni kucheza na transit camp na friends rangers mje mpigwe taifa hapo muanze kumlaumu karia.Kila mkipata kipigo mnalalamika kua yanga inawaza kuifunga tu simba kimataifa haina lolote. Nyie huko mna kombe gani? Na pia kwa nn mnaingiza timu uwanjani kama mnajua mtafungwa na yanga? [emoji16]
Mlianza kusema ngao sio kombe, kumbe mnalitaka, mkaja tena ligi ni kombe la mbuzi kumbe mnalitaka, na sasa mmehamisha magoli yanga anawaza tu mechi za ndani, sasa mnaongiza ligi kelele zimekua kila kona. Mnaongoza kwa tofauti ya gap la point 6. 😁Yanga mkija kushtuka simba imeshawaacha mbali super league Africa mashariki itawakilishwa na simba pekee endeleeni kucheza na transit camp na friends rangers mje mpigwe taifa hapo muanze kumlaumu karia.
Tanzania ni maskini kwa sisi raia kuwa wavivu wa kufikiri na kukariri, Yanga iliyotolewa first round mwaka jana si Yanga hii ya kina Azizi K!Sema huko cuf watawaadhibu sana🤣🤣🤣