Kwa spea gari za Honda, ahsante Mr Japanese Dar!!

Kwa spea gari za Honda, ahsante Mr Japanese Dar!!

NajuaKusoma

Member
Joined
May 8, 2017
Posts
81
Reaction score
60
79765b2dfa91929f4331de6d6745b72b.jpg
 
Kwa wale wote mnaogopa Gari za Honda tukutane hapa niwatoe hofu kuhusu Spea!!
Mwaka juzi nilinunua Civic Ferio ila kila MTU alinishangaa na kuona nmeingia Choo cha kike,nlijipa MOYO na niliwah kutafuta SPEA nikasumbuka mno ila kwa sasa nilikutana na Jamaa pale KARIAKOO wana UHAKIKA WA KILA SPEA YA HONDA!!
NMEWAPENDA BURE NA ukitaka mawasiliano nichek
 
Umefanya vema sana, lakini angalau ungedadavua hata locationa yao walipo weka wazi haya mambo si mpka PM ndugu.
 
Yes,, jamaa namuamini saana na kama hana hua ana MTU Japan, unachofanya unamtumia picha au namba ya Spea fasta tu,,
 
Kwa wale wote mnaogopa Gari za Honda tukutane hapa niwatoe hofu kuhusu Spea!!
Mwaka juzi nilinunua Civic Ferio ila kila MTU alinishangaa na kuona nmeingia Choo cha kike,nlijipa MOYO na niliwah kutafuta SPEA nikasumbuka mno ila kwa sasa nilikutana na Jamaa pale KARIAKOO wana UHAKIKA WA KILA SPEA YA HONDA!!
NMEWAPENDA BURE NA ukitaka mawasiliano nichek
Tupe Mawasiliano yao mkuu
 
Back
Top Bottom