Kwa spidi hii, kuna uwezekano wa Ray Vanny kufukuzwa WCB!

kweli rei vani anakipaji but dabliusibii hawez toka kwa bosi mendeziii
 
Kufanya vzur kwake italeta sifa zaid na faida zaidi wcb
 
Hata kama ikitokea anataka kitoka WCB diamond hatomuachia aende,ndo tunapowaona lil wayne na bird man....
 
Mmeanza vijinenoooo..................
 
Yaani mtu akiwaza tu anaanzisha thread. Sasa huu si upuuzi huu!
 
Wadau kama kichwa kinavyoonesha hapo juu kutokana na kipaji cha huyu bwana Mdogo mbeleni kuna uwezekano Wa kuwafunika WCB wote ikiwemo Boss wao diamond. Hivyo anaweza kuondolewa chamani ili kulinda heshima ya boss
mbona unaongea kinyumenyume.. kwani ulitaka achukue mapoyoyo kama KI BA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…