Kwa Starehe na Biashara ya haraka Mkoani kwako

Kwa Starehe na Biashara ya haraka Mkoani kwako

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Nataka kusafiri kidogo. Lakini nataka safari yangu iwe yenye manufaa. Ninataka niende Tanga but sitaki enda mikono mitupu. Nataka nije na mzigo wa biashara. Wa kawaida tu usiozidi Mil 1. Kama utafiti tu.

Najiuliza nilete bidhaa gani Tanga ili niuze ndani ya siku 2-3 then nirudi zangu dar. But pia kama kuna mdau anaweza nikaribisha mkoani kwake ikiwa ana uhakika na uhitaji wa bidhaa flani naweza kuja ikiwa tu uhakika upo wa kuuza ndani ya siku chache.

Ili nisikae sana na pia kupunguza gharama za lodge. Nashukuru kwa mawazo yenu.
 
Hauwezi kuwa siriazi, kabisa unaenda Tanga mfungo huu.... Tanga!!

Ni matumizi mabaya ya ziara, itoshe tu kusema hautoifaidi ziara yako.
 
Nataka kusafiri kidogo. Lakini nataka safari yangu iwe yenye manufaa. Ninataka niende Tanga but sitaki enda mikono mitupu. Nataka nije na mzigo wa biashara. Wa kawaida tu usiozidi Mil 1. Kama utafiti tu.

Najiuliza nilete bidhaa gani Tanga ili niuze ndani ya siku 2-3 then nirudi zangu dar. But pia kama kuna mdau anaweza nikaribisha mkoani kwake ikiwa ana uhakika na uhitaji wa bidhaa flani naweza kuja ikiwa tu uhakika upo wa kuuza ndani ya siku chache.

Ili nisikae sana na pia kupunguza gharama za lodge. Nashukuru kwa mawazo yenu.
We una bidhaa gani
 
Back
Top Bottom