Kwa suala la Mpina; Spika Tulia unastahili nafasi ya juu zaidi ya hiyo unayotumikia

Kwa suala la Mpina; Spika Tulia unastahili nafasi ya juu zaidi ya hiyo unayotumikia

Wimbo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2012
Posts
866
Reaction score
625
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. Ubarikiwe sana.
 
Kwamba Yesu msulubishe, anaingilia KAZI za watu, ni Afadhali Jambazi Aachiwe huru Ili mwenye HAKI afungwe.

HAKI hujisimamia, Yuaja mwenye kuhukumu Kwa HAKI.

Tusubiri.
 
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.
Pumba tupu hii
 
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.
We jamaa, hapa umeandika Wimbo wa kijinga sana..!! Tuwekee wimbo ulio bora 15 tukuelewe. Acheni uchawa
 
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.

Uchawa huwa unaondoa maarifa.

Unasema eti alikuwa na nafasi ya kumuadabisha, unaelewa hata maana ya neno 'kumwadabisha', au umeropoka tu?

Unamwadabisha mtu aliyekosa adabu. Mpina amekosa adabu gani, na kwa nani, kwa kufichua ufisadi uliotendeka kupitia vibali vya uagizaji sukari nje ya nchi?

Msiwe mnatumia maneno ambayo hamwelewi hata maana yake.
 
Kwa kufichua uovu? Basi kweli itathibitisha mashetani ndio walioshikilia nafasi sehemu zote. Na wanazitumia nafasi wanazoshikilia kuhakikisha uovu unaendelea.
CCM ni Chama Cha Mafisadi
 
Mtu akiibua wizi kama nikweli anaadhibiwa au anapaswa apongezwe?
Mpina anahoja asikilizwe. Hakuongea kwa bahati mbaya na inawezekana alikua anatamani uchunguzi ufanyike
 
Wewe muke
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.
Huna hoja wewe,sasa spika kafanya nn hapo la msingi.Wahojiwe wote mbele ya kamati
 
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.

Majizi na mafisadi yana umoja sana ~~~ Makonda
 
katika wasilisho lako la leo Mh. Spika ulikuwa na nafasi ya kumuadabisha Mpina moja kwa moja lakini kwa kuzingatia utawala bora bado umeruhusu kamati zipitie hoja zake, na hoja ya utovu wa nidhamu wake ili utende haki. wengine wangedhani unajivua kuonekana mbaya, lakini huo ndio uongozi wa kujali. ubarikiwe sana.
Haya mambo yanaanzaga hivi hivi mwishowe mnataka mtu achukua nafasi ya Yesu ama ya Mtume.
 
kila Mtanzania anao uhuru wa kusema ili mradi havunji sheria na Mpina ametumia uhuru wake, lakini ameutumia vibaya alitakiwa afuate sheria za kuwasilisha endapo hoja yake yake ingetupiliwa mbali au kutopewa uzito stahiki, angetoka auamibie umma tungemuelewa zaidi, sasa hivi hata kama hoja yake ina mashiko bado inaonyesha katumwa au ana agenda yake ya chuki dhidi ya wahusika. bahati mbaya Mzindakaya alishakufa angekwenda kwake amuelimishe sakata la sukali si la leo na amweleze alivyotumika kuwangoa akina Waziri Simba. viana wa siku hizi mnakurupuka.
 
Back
Top Bottom