Kwa taarifa hii ya Mtangazaji wa ITV na Radio One Hosea Mchopa aliye Safarini Rwanda na Yanga SC kuna la Kujifunza?

Shida ya Watanzania, ni kukataa ukweli, Rwanda wako vizuri sisi tuna miji michafu na trafiki wamejazana Kila Kona. Na usafi au umakini aujalishi nchi ndogo au kubwa
 
Yaani kabisa Mtanzania awe na Ustaarabu? Toka lini?
 
Tafuta hela
 
Mkhundhwow unakuwasha.
 
N.a. Mimi ndo nashangaa mkuu siku zote najuaga mtoa mada ni ke
Ni lini ulienda kubadili Jinsia yako na leo unajiita / unajiona ni Mwanaume wakati Wewe ni Mwanamke tu?
 
tuwaige wanyarwanda
 
Rwanda hakuna waswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…