Kwa 'Tafsiri' tu ya haraka haraka 'umegundua' nini kati ya haya 'Matukio' makubwa Mawili dhidi ya hawa Wasanii?

Kwa 'Tafsiri' tu ya haraka haraka 'umegundua' nini kati ya haya 'Matukio' makubwa Mawili dhidi ya hawa Wasanii?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Msanii Nandi alipopanda Jukwaani wala Mheshimiwa Rais 'hakushoboka' nae mpaka pale Nandi Yeye kama Yeye alipoamua 'Kujipeleka' Kwake ili avalishwe 'Kofia'. Lakini kwa Msanii Zuchu Yeye alipopanda tu Jukwaani Mheshimiwa Rais hakusubiri hata muda uchelewe ambapo aliamka na Kuelekea alipokuwa Zuchu na kuanza 'Kuserebuka' nae huku akionyesha 'Kufurahia' na hadi 'Kumfurahia' kabisa.

Je, hii ni 'tafsiri' gani? Nasubiri 'Mitazamo' yenu Wajuvi ( Wadau ) wa mambo hapa Jamvini ( JamiiForums ) kwani huwa hamshindwi chochote kile.
 
Weka picha ya Nandi akivishwa, na ya Zuchu akiserebuka na mzee baba. La sivyo post yako ni umbea
 
itakuwa ndiyo yale mambo yetu ya mto ngono na tamaa ya kupiga katerero

@ mtu na kaugonjwa kake
 
Ni muda wa Nandy sasa kupambania Kiti chake cha Queen wa bongo fleva la sivyo atapokonywa kabla ya wakati wake!!yaani mapema saaana!!

Sasa hivi Nandy amepwaya,msisimuko umepungua,shauku ya mashabiki juu yake imepungua sana!sijui ni kwa ajili ya Upepo wa Zuchu au vipi!!

Management ya Nandy inahitaji kuongeza nguvu zaidi maana Zuchu wa moto sana
 
Kwani kati ya gentamycine,zuchu na nandi nani ni mrembo zaidi
 
  • Thanks
Reactions: tyc
Ni muda wa Nandy sasa kupambania Kiti chake cha Queen wa bongo fleva la sivyo atapokonywa kabla ya wakati wake!!yaani mapema saaana!!

Sasa hivi Nandy amepwaya,msisimuko umepungua,shauku ya mashabiki juu yake imepungua sana!sijui ni kwa ajili ya Upepo wa Zuchu au vipi!!

Management ya Nandy inahitaji kuongeza nguvu zaidi maana Zuchu wa moto sana
nibebe
 
Kwasababu mzee ile ya Nandy ashapiga, sasa hivi ni zamu ya Chuchu.
 
Si alishamwitaga zuchu chuchu, nani hapendi chuchu
 
Back
Top Bottom