Kwa taharifa yako tu, kama ulikuwa ufahamu. Uki...

Mambo hayo, silaumu mtu, maisha ni magumu sana watu wanachanganyikiwa.
 
Moooods...!
Tunaomba jukwaa la utabiri uchawi na wanga.
 
kila nikisoma poster zako
1. nawaza una umri gani??
2. na waza jinsia yako..?
3. nawaza unaishi wapi??
4. nawaza huwaga unawaza nini tu??
 
Mnajimu wa east africa nzima haya bana. Ushindwe na ulegee katika jina la yesu
 
usiku wa kuamkia leo nimeota nafanya mapenzi na shemeji wa ex-boyfriend wangu, tena kitandani kwake when mkewe yupo safarini.
nimeamka naogopa coz nilikuwa namuheshimu kinoma, nikimuona tu natoka nduki( si unajua enzi za mapenzi ya wizi..)
bado sijaolewa
before that siku za nyuma nilishaota nafanya mapenzi na mwanamke mwenzangu
 

mzuanda hiyo ni kweli au unatuchangamsha changamsha tu? Mmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…