VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Leo usiku, naomba uote unafanya mapenzi na mwanamke mwenzie
Mtafanikiwa kwenye biashara yenu pamoja na maendeleo kwa ujumla
kuachwa na mumeo au kufiwa na mume huyo.
Wewe si mfanya mazoezi kutwa nzima, mwezi ujao utaota unafanya mapenzi na mwanamke mwenye sura mbaya
Sheikh YAHYA!!!!!
Moooods...!
Tunaomba jukwaa la utabiri uchawi na wanga.
Ngoja wakuskie waje wakulimishe usiku ndo jukwaa lao liwekwe.
usiku wa kuamkia leo nimeota nafanya mapenzi na shemeji wa ex-boyfriend wangu, tena kitandani kwake when mkewe yupo safarini.
nimeamka naogopa coz nilikuwa namuheshimu kinoma, nikimuona tu natoka nduki( si unajua enzi za mapenzi ya wizi..)
bado sijaolewa
before that siku za nyuma nilishaota nafanya mapenzi na mwanamke mwenzangu