USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Je, wajua kwamba Chadema kwenye kanzi data yao ina wanachama wasiozidi 450,000 nchi nzima.
Hivyo, ukitazama ndani ya miaka 32 ya kufanya siasa nchini CHADEMA inasajili wanachama 14,062 tu kwa mwaka.
Kama utagawanya tena hiyo 14,062 kwa mikoa 26 CHADEMA ina wastani wa wanachama 540 kwa kila mkoa hivyo ukitazama mkoa kama wa Dar es Salaam yenye wakaazi zaidi ya milioni 6, utagundua CHADEMA ina wanachama wachache sana kwa ngazi ya mkona, chini ya asilimia 3
Hapo sijaamua kushuka kwenye ngazi ya wilaya, kata, vitongoji, mitaa na vijiji.
Ni wazi kwaamba CHADEMA bado ni chama kichanga sana licha ya kufanya siasa kwa muda mrefu kidogo lakini ajabu ni kwamba kijitutumua kuonesha ukubwa ambao kimsingi hakina.
Ushauri wangu kwao warudi kwenye drawing board upya kuangalia wanakosea wapi na namna gani wanaweza kurudi tena kwenye kufanya siasa za ushindani.
Na wajue kwamba, kwa makubwa aliyoyafanya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kati ya 2021 - 2024, CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu 2025 na hii ni kutokana na matokeo mazuri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 2024.
USSR
Hivyo, ukitazama ndani ya miaka 32 ya kufanya siasa nchini CHADEMA inasajili wanachama 14,062 tu kwa mwaka.
Kama utagawanya tena hiyo 14,062 kwa mikoa 26 CHADEMA ina wastani wa wanachama 540 kwa kila mkoa hivyo ukitazama mkoa kama wa Dar es Salaam yenye wakaazi zaidi ya milioni 6, utagundua CHADEMA ina wanachama wachache sana kwa ngazi ya mkona, chini ya asilimia 3
Hapo sijaamua kushuka kwenye ngazi ya wilaya, kata, vitongoji, mitaa na vijiji.
Ni wazi kwaamba CHADEMA bado ni chama kichanga sana licha ya kufanya siasa kwa muda mrefu kidogo lakini ajabu ni kwamba kijitutumua kuonesha ukubwa ambao kimsingi hakina.
Ushauri wangu kwao warudi kwenye drawing board upya kuangalia wanakosea wapi na namna gani wanaweza kurudi tena kwenye kufanya siasa za ushindani.
Na wajue kwamba, kwa makubwa aliyoyafanya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kati ya 2021 - 2024, CCM itashinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu 2025 na hii ni kutokana na matokeo mazuri ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Novemba 2024.
USSR