Kwa takwimu hizi kuna mahali Neymar anatukosea na kuna mahali sisi tumemvunjia heshima yake

Utoto mwingi sana kichwani ndicho kinacho/kilicho muangusha hadi sasa dunia isimheshimu.


Leo hii Olivier Giroud anaonekana mtu wa maana japo amefunga magoli machache kuliko Neymar kwa vile anafanya kile anachoweza kwa bidii licha ya kuwa na kipaji kidogo sana.
 
Neymar kaukosea mpira adabu.. hakuwa na njaa ya mafanikio saana uwanjani, njaa ya neymar ukilinganisha na cr7 basi neymar huenda angekuwa mchezaji wa kipekee mnoo toka dunia iumbwe
Neymar kafanya vitu vingi vizuri Ila mashabiki wengi tunakumbuka mechi chini ya tano alizotukosea..
Binafsi na mhukumu kwa mechi
Robo fainal ya PsG vs Madrid alitukera Sana.
Na Ile robo fainal ya WC Russia Kati ya Brazil na nethaland I think alitutania Sana...

But back to the chart Neymar injuries ndio zomemuumiza ,,ukiangalia hiyo chati ni kuwa Neymar amecheza mechi chache kuliko frimino na hiyo sababu ni injury
 
Kuna magoli mengi halafu **** Magoli muhimu.

The likes of Ronaldo9 alikuwa anaibeba timu kwa magoli kwenye mechi muhimu za ushindani mkubwa.

R.Gaucho na Ricardo Kaka pia.

Namaanisha magoli yao yalikuwa yanaleta na matokeo muhimu sana.

Neymar and Firminho output ni sifuri
 
Pia Girou amefunga magoli muhimu katika nyakati muhimu zaidi
 
Huyu kinachomponza Ni ubishoo mwingi uwanjani.
Injuries zake nyingi zinatokana na yeye kukaa na mpiraa miguuni muda mrefu na kufanya chenga zizizo na maana kwa timu.Hovyo kbsa huyu kijana.
 
Hii kali asee! Kumbe kwenye mpira kuna magoli ambayo huwa hayana umuhimu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…