Kwa takwimu hizi, Mshale unaonyesha Ufaransa anaenda kuchezea kichapo heavy semi final FIFA W/C

Kwa takwimu hizi, Mshale unaonyesha Ufaransa anaenda kuchezea kichapo heavy semi final FIFA W/C

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Katika mechi 11 zilizopita Ufaransa ameshinda mechi 5 , amefungwa mechi 4 na ametoka droo mechi mbili, amefunga magoli 17 na amefungwa magoli 13

IMG_20221212_221239.jpg


Kwa upande wake Morocco , katika mechi 11 zilizopita, ameshinda mechi 8 , hajafungwa mechi hata moja , ametoka droo mechi 3, amefunga magoli 19 na amefungwa magoli 3 pekee.

IMG_20221212_221656.jpg

Kwa data hzi bila kupepesa macho Morocco ndo Taifa gumu zaidi kufungika duniani Kwa sasa Ufaransa ana kazi ngumu zaidi kuweza kuwafunga hawa jamaa.

Timu zilizofungwa na Morocco zilikuwa vizur mno, tatizo walikutana na timu iliyo well organized and we'll prepared....., Kwa mara nyingine Morocco inaenda kuviteka vyombo vya habari duniani kote, wazee wa kubet msifanye makosa Kwa kuangalia jina, mtaliwa kichwa
 
Mm mapema nimechagua mvaa kanzuu kama umeangalia wamoroco wakichezaa ni hatari na nusu
 
Othman dembelee akicheza ujue ufaransa atapigwa tu
 
Morocco bora ipigwe tu maana wanajiona sio waafrika, fainali iwe miamba ya soka duniani argentina na ufaransa, kisha argentina awe bingwa wa kombe la dunia msimu huu
 
Back
Top Bottom