Habarini wadau,
Swali langu ni; kwa Tanzania, kiwango cha kodi ni asilimia ngapi? Mfano, kampuni au mtu akinunua kitu kutoka kwa mtu mfano nyumba au programu kwa kwa kiwango labda cha shilingi milioni 300, Je, yule mtu inabidi alipe asilimia ngapi ya ile hela kwa Serikali?