#COVID19 Kwa Tanzania Kundi la chini ya 50 hawachanji?

Kiume3000

Senior Member
Joined
May 17, 2021
Posts
180
Reaction score
218
nisaidieni wkt naweka order nakutana na hii fomu
 
Nafikiri wamemaanisha hao ni watakaopewa kipaumbele. Nenda kachanje
 
Jamaa anataka kuwa zombi
 
Usiwe na hofu, zipo nyingine mil. 11 zinakuja.......ni wewe na mabega yako tu, na nyingine utapewa unywe kabisa.
 
Kwani mpendwa upo timu ipi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€waoga wa sindano utawajua tu
hapa ndo shida kuu iliko, mimi na sindano ni paka na panya hatupikiki chungu kimoja. Ili ni chanje lazima niende na familia nzima pamoja na mjumbe wa nyumba 10 wakanishikilie vinginevyo sichanji abadani!!!πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
hapa ndo shida kuu iliko, mimi na sindano ni paka na panya hatupikiki chungu kimoja. Ili ni chanje lazima niende na familia nzima pamoja na mjumbe wa nyumba 10 wakanishikilie vinginevyo sichanji abadani!!!πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Umenikumbusha enzi hizo nilikuwa nikiumwa nikiandikwa sindano napelekwa na Baba,Mama na kaka yangu na wasiponishika vizuri napindua meza kwa mateke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…