Kwa Tanzania ni sehemu gani unaweza kupata Chemicals mbalimbali

Kwa Tanzania ni sehemu gani unaweza kupata Chemicals mbalimbali

Mr No fair

Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
84
Reaction score
122
Mfano labda nahitaji calcium carbonate, silicone ,Polyol Nk ni sehemu gani naweza kupata vitu kama hivyo labda TDI please Nisaidieni wana jamvi.
 
Chang'ombe Mbozi Road kabla ya kufika TMJ pale kuna chimbo mkono wa kushoto kama unaelekea TMJ.
 
Chang'ombe Mbozi Road kabla ya kufika TMJ pale kuna chimbo mkono wa kushoto kama unaelekea TMJ.
Dar es salaam? Kwasababu Mimi nipo Dodoma na kuna project na plan kuifanya ina hitaji chemicals aina kama 7 nikipiga hesabu kuhusu masuala ya kusafilisha kutoka nje naona nakwama kabisa mlolongo unakuwa mkubwa sana na kila mlolongo unahitaji pesa Nahisi kuna mahali nitakwama hata kwenye upande wa pesa ndo maana naona nitafute kwa hapa bongo naweza kupata?
 
Lakini Hiyo Tata si masuala ya vehicles ? Mimi sihitaji vehicles nahitaji chemicals
 
Ningepata jina la hiyo kampuni/ofisi ingekuwa magoli sana
Calcium carbonate wacheck RK
IMG_20230404_134811.jpg
IMG_20230404_134930.jpg
 
Ningepata jina la hiyo kampuni/ofisi ingekuwa magoli sana
Mkuu, jina mpaka niende pale kitu ambacho ni ngumu kutoka na ratiba, ila kwa maelezo mafupi ni kwamba, Ukishavuka geti la Veta, kuna barabara inaingia kulia kwako, inaitwa Mbozi road, mita kama 50 kutoka main road utakuta barabara inakatiza unaivuka then geti linalofuata hapo ndo penyewe, mkono wa kushoto kwako.. geti jeusi.
 
Ahsante mkuu hawana website labda naweza kupata mawasiliano yao labda email yao nk kwasababu Mimi kwasasa nipo DODOMA
Una google tu mkuu! Kila kitu kipo kiganjani
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20230404-185928.jpg
 
Back
Top Bottom