Kwa Tathimini ya Sauti na Mtiririko wa Sauti Huyo Mstaafu huko Dodoma Hajamaanisha Alichosema. Soma Zaidi

Kwa Tathimini ya Sauti na Mtiririko wa Sauti Huyo Mstaafu huko Dodoma Hajamaanisha Alichosema. Soma Zaidi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Habari zenu.

Mtaji wa maisha ni Akili zetu na thawabu to Kwa mola wetu, watanzania kuweni na akili kubwa tumieni hata Milango mikuu ya fahamu ya mwanadamu kufanya tathimini viongozi wanapotumia jukwaa kuzungumza mambo.

Fanyeni rejea ya mstaafu akiongea kama mtu aliepooza, wa baridi, Nuru finyu, bashasha finyu, low energy , low voice, na mahali sauti imetokea so kwenye msingi wa kweli wenye kunasibisha hio kweli.

Sauti haijatokea deep down imetoka mdomoni tena ulimini si hata kwenye Koo au kifua achilia mbali tumboni.

Nawaibia akili kidogo zetu sisi akina madenge na sokomoko tunaelewa.

Rudieni kumsikiliza lisemwalo lipo na kamalizia mwenyewe Kwa kusema labda mambo yaharibike sanaaa. Hivi mnaelewa uzito wa haya maneno

Nawakomaza akili ya tathimini.

Am out
 
Ila hili la kusema: "aliyesema kuna wateule wanawania madaraka ya aliyewateua" na fitina zingine zinazozushwa na wasaka tonge wawe wanaitwa kamati ya maadili kuthibitisha, litapunguza kasi ya "uchawa" uliotamalaki Ccm.

Tena uchawa wa kipumbafu unafanywa na watu zamani tuliodhani ni watu wa maana na wajenga hoja Bungeni kumbe ni hovyo kabisa!
 
Ila hili la kusema: "aliyesema kuna wateule wanawania madaraka ya aliyewateua" na fitina zingine zinazozushwa na wasaka tonge wawe wanaitwa kamati ya maadili kuthibitisha, litapunguza kasi ya "uchawa" uliotamalaki Ccm.

Tena uchawa wa kipumbafu unafanywa na watu zamani tuliodhani ni watu wa maana na wajenga hoja Bungeni kumbe ni hovyo kabisa!
Msikilize tena huyo Mstaafu na mwangalie body language na energy katika intonation, stressing of words, lips na fluidity ya Sauti na ufingamano na uso utaelewa about the big man himself
 
Mstaafu kabla hajatoa neno lolote kwenye hadhara hua anahakikisha fyuzi inayounganisha ubongo na mdomo Iko connected vzuri
 
Ukiangalia body language ya samia, utagundua hata yeye anajua kuwa hile haikuwa deep from the heart.
 
Siku zote uswahiba huleta mzaha na ndio hayo ya kina Kikwete na swahiba wake Makamba in connection to dada yao SSH.
 
Msikilize tena huyo Mstaafu na mwangalie body language na energy katika intonation, stressing of words, lips na fluidity ya Sauti na ufingamano na uso utaelewa about the big man himself
Labda alikuwa hayuko sawa kiafya ndyo maana alikuwa anaongea vile.

Ok labda sasa tufanye alichokuwa anaongea ni tofauti na alichokuwa anamaanisha,je ni asilimia ngapi ya watanzania wataelewa alichomaanisha na siyo walichokisikia kwa maana ya kuonea kama kuongea
 
Labda alikuwa hayuko sawa kiafya ndyo maana alikuwa anaongea vile.

Ok labda sasa tufanye alichokuwa anaongea ni tofauti na alichokuwa anamaanisha,je ni asilimia ngapi ya watanzania wataelewa alichomaanisha na siyo walichokisikia kwa maana ya kuonea kama kuongea
Ndio hivo tena wajanja ni wajanja tu
 
Back
Top Bottom