Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

Kwa timu hii, Simba haitoboi super league

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwa mpira huu waliocheza na giant young Africans nipende tu kusema ....Simba asanteni Kwa kushiriki michuano ya super league

Boko + Miquison waliingizwa Kwa shinikizo la nani ???.?..

Kama sio ubutu wa safu ya ushambuliaji wa Yanga ......basi Simba wangekula hata 6_ 0

NB: Yanga bado wanashida na upigaji wa mipira iliyokufa
1692003387727.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kwa mpira huu waliocheza na giant young Africans nipende tu kusema ....Simba asanteni Kwa kushiriki michuano ya super league
Hivi Yanga kwa nini CAF hawatufikirii kutuingiza kwenye hiyo league? Tumewakosea nini? Ni kweli tumepoteza mechi mbili mfululizo mbele ya Simba, lakini makombe tunayo, ni hiyo ngao tu ndio tumeipoteza. Tulipaswa tucheze hiyo ligi. Hata takwimu zinatubeba, si unaona kona tulizopata jana? Ni nyingi kuliko hao walioteuliwa kucheza Super League. Au walihonga kupata hiyo nafasi?
 
Hivi Yanga kwa nini CAF hawatufikirii kutuingiza kwenye hiyo league? Tumewakosea nini? Ni kweli tumepoteza mechi mbili mfululizo mbele ya Simba, lakini makombe tunayo, ni hiyo ngao tu ndio tumeipoteza. Tulipaswa tucheze hiyo ligi. Hata takwimu zinatubeba, si unaona kona tulizopata jana? Ni nyingi kuliko hao walioteuliwa kucheza Super League. Au walihonga kupata hiyo nafasi?
Kipindi wazo la hii ligi linaanzishwa Yanga tulikua tunashika nafasi ya chini kwenye ranks za CAF nafikiri tulikua 78, sasa hivi tumepanda mpaka 18. Kabla ya kufanya vizuri kwenye confederation mwaka jana Yanga hatukua tunafahamika Afrika kama Simba. Tukiendelea na muendelezo mzuri CAF basi super league ya msimu ujao lazima tutakuwepo
 
Hivi Yanga kwa nini CAF hawatufikirii kutuingiza kwenye hiyo league? Tumewakosea nini? Ni kweli tumepoteza mechi mbili mfululizo mbele ya Simba, lakini makombe tunayo, ni hiyo ngao tu ndio tumeipoteza. Tulipaswa tucheze hiyo ligi. Hata takwimu zinatubeba, si unaona kona tulizopata jana? Ni nyingi kuliko hao walioteuliwa kucheza Super League. Au walihonga kupata hiyo nafasi?
Bado tunatengeneza timu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom