Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata ao Simba wenyewe hawakuelewi kama unawa dhihaki au una maanisha.Timu zote za Shirikisho safari hii ni DHAIFU SANA, yenye afadhali ni Simba tu.
Ni kweli hakuna team yenye lank sawa na simba ni aibu tukishindwa kuchukua hili kombe.. naona timu ngumu ni 4 tu al mereki, sr benkane, alh Tripoli na enyimba labda na as vita ya congo.Timu zote za Shirikisho safari hii ni DHAIFU SANA, yenye afadhali ni Simba tu.
MkeSimba ni .... wa Yanga
Nina maanisha kabisa. Hii ni bahati kubwa sana kwa timu yetu ya Simba safari hii. Na ikitokea Simba kuishia njiani ITASTAHILI KUZOMEWA NA KILA MTU.Ata ao Simba wenyewe hawakuelewi kama unawa dhihaki au una maanisha.
Mpira hautabirikiNina maanisha kabisa. Hii ni bahati kubwa sana kwa timu yetu ya Simba safari hii. Na ikitokea Simba kuishia njiani ITASTAHILI KUZOMEWA NA KILA MTU.
Kwa timu hizo za Shirikisho za sasa hata ingekuwa Mashujaa ingefika nusu fainali na ingekuwepo Azam ingefika fainali .
Simba imebahatika sana safari hii
ia bado tunajenga timu, ingekuwa simba ile ya moto ndo ungesema hayaNi kweli hakuna team yenye lank sawa na simba ni aibu tukishindwa kuchukua hili kombe.. naona timu ngumu ni 4 tu al mereki, sr benkane, alh Tripoli na enyimba labda na as vita ya congo.
Hawezi kuweka na hazijui hizo timu.Weka majina ya timu zote zinazoshiriki kombe hilo ili tujadili kwa kina.
Nanii inakuwasha siyo Bure.Simba ni .... wa Yanga
Timu zote za Shirikisho safari hii ni DHAIFU SANA, yenye afadhali ni Simba tu.
MySimba ni .... wa Yanga
AiseeSimba wachezaji wa maana ni wawili tu hadi sasa.
Mussa camara.
Debora Ferdnandez
daa hii nchi ina vijana wa hovyo Mashujaa 😇😇😇Mpira hautabiriki