Kwa TRA Tabora: Nililipa SDL mtandaoni lakini kwa sasa inaniambia payments of tax overdue

Kwa TRA Tabora: Nililipa SDL mtandaoni lakini kwa sasa inaniambia payments of tax overdue

malogi1976

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
297
Reaction score
168
Ninahitaji ushauri,

Mimi ni mfanyabiashara hapa Tabora na huwa nalipa SDL ya wafanyakazi bila kuwachelewesha malipo ya mwezi.

Tulivyoenda lipa SDL ya mwezi wa kwanza tukalipa na nikaambiwa malipo ya mwezi unaofuata tutalipa online tumefanya hivyo ila sasa ukiingia online ninaona imeandikwa payment of tax na unfiled returns of employee overdue.

Ukienda waona ili wafute kwenye computer wanasema haitaniletea shida ila mimi naangalia kwa baadaye maana TRA hawakawii kuja kutugeuka. Malipo ya online Tanzania ni shida kwa kweli. TRA Tabora tunaomba mtatue hii kitu isije leta shida baadaye na muwe mnatusikiliza.
 
Ulianza mwezi gani kulipa mtandaoni? Pia hakikisha unahifadhi risiti zote ama slip za malipo ya SDL za miezi ya nyuma.
 
Hizo risiti huwa zinafutika baada ya muda inatakiwa uzitoe photocopy kwa matumizi ya badae.
 
Watu mnavyoogopa kesi ya uhujumu uchumi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hivi hawa wanawake wanaokula nauli kwanini wasipewe kesi za uhujumu uchumi maana wanatia hasara taifa kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom