Kwa tukio hili, nikiweka pesa benki za Kitanzania, mniite mbwa nipo Qatar

Na kuna watu wataamini
 
...Huchoki na Ujinga ?..…[emoji57]
 
Hizi mambo za storpesa muachie Bill Lugano anaiweza kazi yake ww kajifunze kupanga maneno kwanza
 
Kweli wewe rutashobya naona umeleta Uzi kwenye iphone 200 ya mwaka 2060 ya inayouzwa bil 50 ukiwa juu ya kitu cha mil 500 na unapulizwa na feni ya sumsung special order Toka kiwandani south Korea uliyoundiwa kwa bil 30tu (tafadhari hii comment isome kwa lafudhi ya kihaya tu ndo itanoga) [emoji13][emoji23][emoji23]
 
Wahaya Wana shida Sana et Kuna mtu anaitwa mwigulu hii dunia Kuna watu na viati
 
Mkuu acha ujinga hii ni chai [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
ulikuwa hujui wasukuma ni washamba sana! hawasingiziwi mkuu, wao ni watu wa cheap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…