Kwa tukio la kutekwa Kwa watoto wa shule ya English Medium huko jijini Mwanza. Likud yupo sahihi. Wamiliki shule za EMs ni wababaishaji

Kwa tukio la kutekwa Kwa watoto wa shule ya English Medium huko jijini Mwanza. Likud yupo sahihi. Wamiliki shule za EMs ni wababaishaji

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2018
Posts
983
Reaction score
2,306
LIKUD amefungua watu wengi Sana kuhusu ubabaishaji wa shule za EMs zinazo tumia mtaala wa Necta.

Pia soa > Mwanza: Watoto wawili wa Shule ya Blessing Model watekwa, wengine Wanne wanusurika

Wengi ni wababaishaji Sana. Ndio maana Likud anasema hakuna mantiki yoyote Kwa mzazi masikini kujistress kulipa hela kwenye shule hizo Kwa sababu kwanza ni ubabaishaji mtupu plus there is no value for your money.

Hebu imagine unamkabidhi mtoto wako afundishwe na shule ambayo uongozi wake ni wababaishaji kiasi hicho?

Yani Kweli dereva ana mpa lift mtu asiejulikana apande kwenye bus lililo beba watoto?

Huo so mchongo kabisa Kati ya dereva na mtekaji?

Mzazi unae somesha watoto wako shule za EMs umeona jinsi watoto wako wasivyo salama?

Unaweza ukakuta hata baadhi ya walimu wanahusika.

Shule hizo Zina njaa Sana zinaendeshwa kihasara.

Kama huwezi kulipa Dola elfu 40 Kwa mwaka kumlipia mwanao shule ya International inayo fuata mtaala wa Cambridge bora muache asome Kayumba.

Halafu wale waumini wa watoto wachache darasa moja mmeona madhara ya watoto wachache?

Uchache wa wanafunzi shuleni ni rahisi hata Kwa watoto kubakwa na walimu wafanyakazi au hata shule kutekwa.

Darasa moja Lina wanafunzi wanane shule nzima ina wafunzi arobaini. Hapo ni rahisi wanafunzi kutekwa hata shule nzima lakini shule yenye wanafunzi elfu 3 mtekaji anateka vipi wanafunzi wote?

Nyie watekaji, wazazi wanao somesha Ems ni masikini tu wanajibana bana wapate Hela ya ada hawana lolote.

Na nyie wazazi masikini , mnajitutumua kulipa ada shule za gharama wakati hamna Hela mwisho wa siku mnasababisha watekaji kudhani mna Hela kumbe hamna kitu..

Nashukuru Mungu watoto wangu niliwaleta Kayumba baada ya kufuata ushauri wa Likud.

Mungu walinde watoto waliotekwa waungane na familia zao salama
 
Punguza kujipa matumaini kama hauna ada ya kumlipia mtoto usijiweke kwenye huu utekaji na kuanza lawama kwa shule zootee za ems.

Wabongo bana,watoto wametekwa nje ya mipaka ya shule yeye anakimbilia kulaumu ems zote.

Hawa wa kayumba wanatekwa sana sema ndo vile kayumba ni kayumba tu pesa hamna kwa polisi kupata kiki na magazeti headlines
 
Punguza kujipa matumaini kama hauna ada ya kumlipia mtoto usijiweke kwenye huu utekaji na kuanza lawama kwa shule zootee za ems.

Wabongo bana,watoto wametekwa nje ya mipaka ya shule yeye anakimbilia kulaumu ems zote.

Hawa wa kayumba wanatekwa sana sema ndo vile kayumba ni kayumba tu pesa hamna kwa polisi kupata kiki na magazeti headlines
Duh yamekuwa hayo tena my dear?
 
Punguza kujipa matumaini kama hauna ada ya kumlipia mtoto usijiweke kwenye huu utekaji na kuanza lawama kwa shule zootee za ems.

Wabongo bana,watoto wametekwa nje ya mipaka ya shule yeye anakimbilia kulaumu ems zote.

Hawa wa kayumba wanatekwa sana sema ndo vile kayumba ni kayumba tu pesa hamna kwa polisi kupata kiki na magazeti headlines
Watoto wametekwa nje ya shule lakini ndani ya gari la shule likiwa linaendeshwa na dereva wa gari la shule na matron WA shule ambao wote ni waajiriwa wa shule. Kifupi uongozi wa shule hawakwepi lawama Kwa sababu uzembe ni wao
 
LIKUD amefungua watu wengi Sana kuhusu ubabaishaji wa shule za EMs zinazo tumia mtaala wa Necta.

Pia soa > Mwanza: Watoto wawili wa Shule ya Blessing Model watekwa, wengine Wanne wanusurika

Wengi ni wababaishaji Sana. Ndio maana Likud anasema hakuna mantiki yoyote Kwa mzazi masikini kujistress kulipa hela kwenye shule hizo Kwa sababu kwanza ni ubabaishaji mtupu plus there is no value for your money.

Hebu imagine unamkabidhi mtoto wako afundishwe na shule ambayo uongozi wake ni wababaishaji kiasi hicho?

Yani Kweli dereva ana mpa lift mtu asiejulikana apande kwenye bus lililo beba watoto?

Huo so mchongo kabisa Kati ya dereva na mtekaji?

Mzazi unae somesha watoto wako shule za EMs umeona jinsi watoto wako wasivyo salama?

Unaweza ukakuta hata baadhi ya walimu wanahusika.

Shule hizo Zina njaa Sana zinaendeshwa kihasara.

Kama huwezi kulipa Dola elfu 40 Kwa mwaka kumlipia mwanao shule ya International inayo fuata mtaala wa Cambridge bora muache asome Kayumba.

Halafu wale waumini wa watoto wachache darasa moja mmeona madhara ya watoto wachache?

Uchache wa wanafunzi shuleni ni rahisi hata Kwa watoto kubakwa na walimu wafanyakazi au hata shule kutekwa.

Darasa moja Lina wanafunzi wanane shule nzima ina wafunzi arobaini. Hapo ni rahisi wanafunzi kutekwa hata shule nzima lakini shule yenye wanafunzi elfu 3 mtekaji anateka vipi wanafunzi wote?

Nyie watekaji, wazazi wanao somesha Ems ni masikini tu wanajibana bana wapate Hela ya ada hawana lolote.

Na nyie wazazi masikini , mnajitutumua kulipa ada shule za gharama wakati hamna Hela mwisho wa siku mnasababisha watekaji kudhani mna Hela kumbe hamna kitu..

Nashukuru Mungu watoto wangu niliwaleta Kayumba baada ya kufuata ushauri wa Likud.

Mungu walinde watoto waliotekwa waungane na familia zao salama
Majanga kila kona tu hata huko kayumba mbona mengi tu..........vingi asubuhi kwa kitaa nikiwa nawahi job navionaga vinatoka kwenye majumba ambayo hayajakamilika kujengwa., na mzazi anajua dogo kaenda shule,,,,,wengi chakula ya bodaboda na wahuni wengine wa mtaani
 
Sasa hapo Ems zote zinahusikaje kwenye hilo tukio?

Huo ni uzembe wa dereva atatoaje lift kwa mtu asiyemfahamu tena akiwa amebeba watoto wadogo. Shule ilaumiwe kwa kutoa ajira kwa madereva wazembe
 
Hili suala la usalama ni mtambuka kidogo, hatuwezi kulizungumzia kwa namna hii.

Hata kayumba kuna matatizo ya usalama.

Utekaji uaweza kufanyika sehemu nyingi sana.
 
Hebu imagine unamkabidhi mtoto wako afundishwe na shule ambayo uongozi wake ni wababaishaji kiasi hicho?
Yani Kweli dereva ana mpa lift mtu asiejulikana apande kwenye bus lililo beba watoto?
Nipo mitaa ya Kivule huku. Kutokana na changamoto ya usafiri, ni kawaida kwa wanafunzi wa shule za kawaida aka Kayumba kuomba lift kwenye malori na canter, na hata Toyo. Kama mtu ana dhamira ya kuwateka, atawateka.

Nimetanguliza hiyo kuonyesha kuwa dhamira ya utekaji haibadiliki eti kwa kuwa mtoto anasoma au hasomi shule ya English Medium. Sijajua bado uhusiano wa hilo, labda niendelee kusoma
 
Watoto wametekwa nje ya shule lakini ndani ya gari la shule likiwa linaendeshwa na dereva wa gari la shule na matron WA shule ambao wote ni waajiriwa wa shule. Kifupi uongozi wa shule hawakwepi lawama Kwa sababu uzembe ni wao
Uwajibikaji wa pamoja au collective responsibility haukwepeki hapa. Ulishajiuliza hao madereva au matron huwa wanalipwa mshahara au posho kiasi gani? What if kama huwa kutokana na vipato vyao vidogo huwa wanaamua kula vichwa barabarani wapate chochote? Hivi hao madereva au matron ni waajiriwa wa shule za EM direct au wanapata tender tu ya kusafirisha wanafunzi?
 
Uwajibikaji wa pamoja au collective responsibility haukwepeki hapa. Ulishajiuliza hao madereva au matron huwa wanalipwa mshahara au posho kiasi gani? What if kama huwa kutokana na vipato vyao vidogo huwa wanaamua kula vichwa barabarani wapate chochote? Hivi hao madereva au matron ni waajiriwa wa shule za EM direct au wanapata tender tu ya kusafirisha wanafunzi?
Upo sahihi kabisa
 
Majanga kila kona tu hata huko kayumba mbona mengi tu..........vingi asubuhi kwa kitaa nikiwa nawahi job navionaga vinatoka kwenye majumba ambayo hayajakamilika kujengwa., na mzazi anajua dogo kaenda shule,,,,,wengi chakula ya bodaboda na wahuni wengine wa mtaani
Watoto wa shule ya msingi?
 
Uwajibikaji wa pamoja au collective responsibility haukwepeki hapa. Ulishajiuliza hao madereva au matron huwa wanalipwa mshahara au posho kiasi gani? What if kama huwa kutokana na vipato vyao vidogo huwa wanaamua kula vichwa barabarani wapate chochote? Hivi hao madereva au matron ni waajiriwa wa shule za EM direct au wanapata tender tu ya kusafirisha wanafunzi?
Kweli kabisa shule za EMs Zina ubabaishaji mwingi Sana
 
Punguza kujipa matumaini kama hauna ada ya kumlipia mtoto usijiweke kwenye huu utekaji na kuanza lawama kwa shule zootee za ems.

Wabongo bana,watoto wametekwa nje ya mipaka ya shule yeye anakimbilia kulaumu ems zote.

Hawa wa kayumba wanatekwa sana sema ndo vile kayumba ni kayumba tu pesa hamna kwa polisi kupata kiki na magazeti headlines
Huku kayumba mtoto akipotea kuja kujulikana ni siku ya 3.

Hapo unakuta mzazi anahisi yuko kwa shangazi yake, na Mwalimu anahisi yuko nyumbani.

Nimewaza tu 😀
 
Hizi hoja mbili mbona ngumu kumeza:
1. Watoto wakiwa wachache inakuaje rahisi kubakwa?
2. Watoto wakiwa wachache inakuaje rahisi kutekwa? Kwani lazima ateke shule nzima?
 
Back
Top Bottom