Kwa tukio la kutekwa Kwa watoto wa shule ya English Medium huko jijini Mwanza. Likud yupo sahihi. Wamiliki shule za EMs ni wababaishaji

Kwahiyo siku benki moja ikivamiwa na majambazi wakaiba, utakuja kutushauri kwamba wanao tunza pesa ndani wapo sahihi kwasababu tukipeleka benki zitavamiwa na pesa kuibwa right.....🤔
 
Kwahiyo siku benki moja ikivamiwa na majambazi wakaiba, utakuja kutushauri kwamba wanao tunza pesa ndani wapo sahihi kwasababu tukipeleka benki zitavamiwa na pesa kuibwa right.....🤔
Hakuna uhusiano. Benji kuvamiwa ni kawaida . Gari la shule kutekwa Sio kawaida
 
Hizi hoja mbili mbona ngumu kumeza:
1. Watoto wakiwa wachache inakuaje rahisi kubakwa?

Kwa mfano shuleni mtoto akiwa anaenda chooni anaweza kubakwa na mfanyakazi au mwalimu Kwa sababu movement ni chache. Kayumba movements ni nyingi Sana Hilo ni ngumu kufanyika
2. Watoto wakiwa wachache inakuaje rahisi kutekwa? Kwani lazima ateke shule nzima?
 
Wnt#mbw sana hao na bodaboda

Ova
 
Hapo ni kujiuliza kwanini watoto watekwe?
Hebu wakae chini na wazazi wao wawahoji vizuri

Ova
 
Hapo Mwanza watoto wanatekwa? Very bad.

Haijalishi ni shule ipi ila ni tukio baya.

Je, wale walioteka watoto miaka fulani hapo Kenya wameingia Tanzania ?

Hivi huu uzembe wa nini dereva utabebaje watu huwajui kwa gari ya watoto wa shule?

Mwaka jana walimpotezea mtoto mlima mmoja huko huko sijui wapi, yule mtoto akalindwa na Mungu hadi akapatikana.

Waziri mwenyewe ndo huyo analumbana na Mheshimiwa,

Hebu waturejeshee wajukuu zetu, wasitutanie
 
Wamiliki wa shule za EMs wengi wababaishaji.

Ngozi nyeusi WaPo very poor kwenye leadership yani sijui hata watu Wana waamini waswahili kiasi hicho
 
Umenikumbusha maskini wa uswahilini dar es salaam kusomesha mtoto bunge ,olimpio shule za msingi wanajiona kama wamesomesha Tanganyika internetion alafu wanapoishi mbali na shule yani shule hipo posta wapo makazi mbagara vikindu.
 
Umenikumbusha maskini wa uswahilini dar es salaam kusomesha mtoto bunge ,olimpio shule za msingi wanajiona kama wamesomesha Tanganyika internetion alafu wanapoishi mbali na shule yani shule hipo posta wapo makazi mbagara vikindu.
Sahihi Kabisa mkuu. Halafu ukiwaelekeza wanakuona eti hauna Hela.

Masikini wa kitanzania Wana vituko Sana aisee
 
Duh Watu ni washenzi
Sijajua kwa mkoani ila kwa huku dar hivi vitoto vinapelekewa sana moto na wahuni mitaani....mtu anajua anatoa upwiru kwa bei ndogo hamna hata haja ya gest hawa wanavutwa tu vichakani mtu anapiga cha fasta atampa hata buku imeisha hio,,, na vitoto vingi vimekua na tamaa na vinapenda mashindano na wenzao na vingi vinatoka familia ambazo kiuchumi haziko sawa, bodaboda, makonda wa daladala wamewafanya ni chakula yao na wahuni wengine mtaani
 
Duh hatari Sana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…