Kwa tulivoiona Yanga, unahisi Real Bamako anakufa goli ngapi?

Tujiandae kwa mapigo weekend hiiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Ewaaaaa chenu kitakua cha dkk zile zile mlizopigwa na wa Tunis hahaha
Kama alizowaweka prince dube wa Azam juzi [emoji23][emoji23]
Ila mlitia fora aisee sekunde ya 10 tu goli, yaani hata kuku huwa wanachelewa kidogo[emoji23][emoji23]
 
Mechi itakua nzuri maana As real Bamako nao wanacheza possession game kwahiyo inaonekana atakayekua na midfielder wazuri atatengeneza nafasi nyingi za kufunga.
 
Kwa Sasa humu jf sports wanapaona kama kituo cha police[emoji23][emoji23]
Kina nani hao? Yani tuache kuwepo jukwaani kisa Simba amefungwa kwani dhambi ? Sisi wengine tupo sana humu.. πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„ πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…