dexterous
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,037
- 3,134
Wasalam great thinkers,
Nisingepnda kuwachosha sana kwa maelezo mengi..
Ni hivi, kwa tuliosoma Bible na Quraan tumepata kusimuliwa juu ya uwepo wa mitume mbalimbali yapata kusadikika au tuseme kuthibitika ya kwamba waliishi miaka mingi sana, wengine waliishi miaka mia sita, mia saba nakuendelea, manabii hao waliopata kuishi miaka hiyo ni Nuhu na wengine wengi.
Swali langu linakuja kwamba ni kigezo kipi kilitumia ku determine hiyo miaka kwamba inafatana na hii kalenda ya sasa ya siku 360 na miezi 12 kutimiza mwaka? Na kama ndio, how is it be possible mtu kuishi miaka yote hiyo?
Mfano uchukulie kuna walioishi tangu Marekan inapata uhuru, karne hiyo mpaka sasa bado yuko hai na bado ataibakiza hata miaka 200 mbele naomba pia kueleweshwa hata na ukubwa wa maumbo yao ilikuwa kulinganisha na miaka hiyo..
Asante sana, naomba kueleweshwa wana Intelligence..
Nisingepnda kuwachosha sana kwa maelezo mengi..
Ni hivi, kwa tuliosoma Bible na Quraan tumepata kusimuliwa juu ya uwepo wa mitume mbalimbali yapata kusadikika au tuseme kuthibitika ya kwamba waliishi miaka mingi sana, wengine waliishi miaka mia sita, mia saba nakuendelea, manabii hao waliopata kuishi miaka hiyo ni Nuhu na wengine wengi.
Swali langu linakuja kwamba ni kigezo kipi kilitumia ku determine hiyo miaka kwamba inafatana na hii kalenda ya sasa ya siku 360 na miezi 12 kutimiza mwaka? Na kama ndio, how is it be possible mtu kuishi miaka yote hiyo?
Mfano uchukulie kuna walioishi tangu Marekan inapata uhuru, karne hiyo mpaka sasa bado yuko hai na bado ataibakiza hata miaka 200 mbele naomba pia kueleweshwa hata na ukubwa wa maumbo yao ilikuwa kulinganisha na miaka hiyo..
Asante sana, naomba kueleweshwa wana Intelligence..