yeah n mpya imeanza mwezi wa 12The cruise ni kipindi cha long time toka enzi za DJ JD..sema labda segment hiyo ya Kareoke ndo mpya
Mwanangu una kitu....Kuna kipindi kipya kinaitwa cruise kareok,kuanzia saa 3 usiku hadi saa 6 jumatatu hadi alhamisi,kuna watangazaji wapya Mayaga Shishi na Kid Kiomboi wakiwa na King smash na Queen Fifi,yaani kipindi kiko hot kama Xxl ya clouds fm
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikua najua, yaani wamenikosha mnooThe cruise ni kipindi cha long time toka enzi za DJ JD..sema labda segment hiyo ya Kareoke ndo mpya
Kiko boombaaDaah kita.bo sana skuwa naskiliza the cruise toka alivkuja fidi ila ngja sku hz nianze kuifatilia kwanza
yess BiShoo haswaaAaa
dah bishoo kweli had I umeacha MDaah kita.bo sana skuwa naskiliza the cruise toka alivkuja fidi ila ngja sku hz nianze kuifatilia kwanza
yess BiShoo haswaaAaa
Wana vibe la nguvu mnooUzuri wao akiondoka mtu anakuja mwingine anatengenezwa mambo mbiombio tu.
Wengi wanaokuwa poa kwa radio kwa TV hawako poa. Labda confidence inakimbia. Au Ile hisia kuwa wananiangalia huko watu inawatoa kwenye reli.mi na pendaga vibe la "king smash" God thing Pop in , bad thing stopping " jamaa yuko fresh sana kwenye redio kuliko kwenye tv i mean fnl
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani , hivi marehemu Ruge alikuwa anasababisha vipi wewe kusikiliza Clouds?Kiukweli tangu Amefariki Ruge nimeachana na clouds mazima yaani, sema hawa East radio masafa yao kuyapata vizuri hadi kwa tocho
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaaaSamahani , hivi marehemu Ruge alikuwa anasababisha vipi wewe kusikiliza Clouds?