uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Nafasi walizopata wahabeshi Jana akipata Mzize basi Kongo wanakufa mapema sana kwa Mkapa
Inonga bado anacheza na jukwaa akitaka labda Yanga imuone ila alifanya makosa mengi sana
Nafasi kama zile ukuta wa Job na Bacca haukutoa kabisa ndani ya dk 90
Inonga bado anacheza na jukwaa akitaka labda Yanga imuone ila alifanya makosa mengi sana
Nafasi kama zile ukuta wa Job na Bacca haukutoa kabisa ndani ya dk 90