Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Yule mkuu wa Twaweza org amezuiliwa passport eti kwasababu alichapisha opinion poll ilionyesha JPM popularity imeshuka kutoka 96% hadi 56%...Duh jamaa katiririka yote ya moyoni, ni ukweli wasiotaka kuuskia wanaokeshanga huku wakibeza SGR yetu....akina Mwanzi1
Lakini huyu jamaa awe makini maana ni mkzi wa mpakani, anaweza kujikuta amezushiwa uraia kwa kufuatwa na uhamiaji kama wanavyofanywa wengine wanaothubutu kuhoji.
Hawa wadau kwao wanaishi kama Korea Kaskazini.
Kumbe unajua hayo? Mbona basi huwa unaiponda Jubilee wakati wana majority zaidi ya hiyo? Dadavua(Alama20) [emoji1]Kumbe Tanzania ipo na uhuru wa kuongea? Wanao sema JPM amezima taarifa za wapinzani kweli ni muongo.
Democracy huwa dictatorship of the majority, kwa sasa CCM Ipo na majority wa tulie JPM amalize kazi yake waTZ wachague mwingine
Jubilee waliiba kura na korti ikathibitisha hilo, lakini hayo ni yaliopita, Uhuru mwenyewe alimwendea Rao sababu hakuwa na legitimacyKumbe unajua hayo? Mbona basi huwa unaiponda Jubilee wakati wana majority zaidi ya hiyo? Dadavua(Alama20) [emoji1]
Korti gani hiyo? Kweli, ni yaliyopita lakini kwako ni stori ya mjini. Unavyolia lia kuhusu Jubilee kutoka chee hadi machweo inamaanisha pia na wewe umepitwa, na wakati? [emoji1]Jubilee waliiba kura na korti ikathibitisha hilo, lakini hayo ni yaliopita, Uhuru mwenyewe alimwendea Rao sababu hakuwa na legitimacy
Tukimuweka Ndii hapa, mnalalaka, mara huyo ni activist sio msemaji wa upinzani, mara Ndii anaropoka tu hana facts.Duh jamaa katiririka yote ya moyoni, ni ukweli wasiotaka kuuskia wanaokeshanga huku wakibeza SGR yetu....akina Mwanzi1
Lakini huyu jamaa awe makini maana ni mkzi wa mpakani, anaweza kujikuta amezushiwa uraia kwa kufuatwa na uhamiaji kama wanavyofanywa wengine wanaothubutu kuhoji.
Hawa wadau kwao wanaishi kama Korea Kaskazini.
Kweli kabisa Mkuu..Yule mkuu wa Twaweza org amezuiliwa passport eti kwasababu alichapisha opinion poll ilionyesha JPM popularity imeshuka kutoka 96% hadi 56%...
Wewe kenua tu lakini akipigwa risasi ndio sasa mtaanza kulialia, ooh mara sijui watu wasiojulikana. Jiwe amefanya mkachenji sana ,yaani mkageuka wahuni bana hadi mnatisha. Bisha nikuzabe kofi fasta! [emoji1] Ndii anarelax bila wasiwasi. Kesho yake aamke kusema mengine ya ajabu.Tukimuweka Ndii hapa, mnalalaka, mara huyo ni activist sio msemaji wa upinzani, mara Ndii anaropoka tu hana facts.
Hebu leo kamuulize huyu mbunge wa Tarime kama akipewa chai ina sukari ya Kenya atakunywa? Tunaambiwa mpaka unga wa ugali wa Kenya unakausha "zana za kiume" Tunawalinda hao ndugu zetu wa mipakani wasiharibiwe zana zao hadimu [emoji23] [emoji23] [emoji23] .
Alie kuhadithia amekudanganyaUnajua bei ya cement kwa sasa ndani ya Tanzania au unaropoka tu hapa kama mwehu??
Kwa taarifa yako Dangote amesimama kabisa production sababu ya matatizo ya kimkataba..
Twiga cement na Nyati cement production imesimama wapo kwenye maintenance ya mitambo yao na haikulikani lini wata resume production..
As a result cement ni haba ndani ya Tanzania na hiyo kidogo inayopatikana kwa shida ni bei kubwa.
Mfuko wa cement ndani ya Dsm ni 15,000/+ na haipatikani vilevile.
Unasema plenty of stuff in Tanzania are cheaper than Kenya..mention them.
Haha, Lady JayDee aliimba SIKU HAZIGANDI, ukitaka maendeleo pokea na changamoto zake. Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi alituambia, ukifunguwa dirisha sio upepo tu utaingia, nzi na mbu nao wataingia.Wewe kenua tu lakini akipigwa risasi ndio sasa mtaanza kulialia, ooh mara sijui watu wasiojulikana. Jiwe amefanya mkachenji sana ,yaani mkageuka wahuni bana hadi mnatisha. Bisha nikuzabe kofi fasta! [emoji1] Ndii anarelax bila wasiwasi. Kesho yake aamke kusema mengine ya ajabu.
Sasa hao mbu na nzi ndio akina nani? Mbona unaongea kwa mafumbo basi. Acha wasiwasi wewe! [emoji23]Haha, Lady JayDee aliimba SIKU HAZIGANDI, ukitaka maendeleo pokea na changamoto zake. Mzee wetu Ali Hassan Mwinyi alituambia, ukifunguwa dirisha sio upepo tu utaingia, nzi na mbu nao wataingia.
Naongea kwa lugha mpya inayoitwa Changamoto, kama huilewi basi tuachie hapa hapa [emoji23] [emoji23] .Sasa hao mbu na nzi ndio akina nani? Mbona unaongea kwa mafumbo basi. Acha wasiwasi wewe! [emoji23]
Sawa jombaa, sote tunajua ncha ya praizi inavong'ata kishenzi. Hamna hajaaa. [emoji38]Naongea kwa lugha mpya inayoitwa Changamoto, kama huilewi basi tuachie hapa hapa [emoji23] [emoji23] .